Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Nimepitia katiba toleo la 2005, sijaona lolote kuhusu kiongozi wa upinzani bungeni. Nimepitia Kanuni za Bunge zinasema kutakuwepo na kiongozi rasmi wa upinzani bungeni lakini hazikutajwa sifa stahili.
Naomba wajuzi mnijuze, kwani ni lazima kiongozi wa upinzani bungeni awe mbunge?
Naomba wajuzi mnijuze, kwani ni lazima kiongozi wa upinzani bungeni awe mbunge?