Baada ya 2025 kama siyo Rais basi Kiongozi Rasmi wa Upinzani

Sayyid Khalifa

Senior Member
Jun 8, 2018
111
216
Kutokana na upepo wa kisiasa unvyovuma ni wazi kwamba unampendelea sana Freeman Aikaeli Mbowe. Na kumuweka katika nafasi ya wanasiasa wachache nchini wenye nguvu na ushawishi na hivyo si ajabu kusikia 2025 amechaguliwa na watanzania kuwa raisi wao.

Hivyo basi ninafikiri ipo haja katika mchakato wa mabadiliko ya katiba(KATIBA MPYA) kuwe na kipengele cha official opposion leader ambaye atakuwa ni mgombea aliyeshika nafasi ya pili katika kura za uraisi.

Hii itampa uhakika wa kuwepo bungeni na kuongoza kambi ya upinzani iwapo atashindwa na mgombea wa CCM katika kura za uraisi.

Katiba ya sasa inalazimisha kiongozi wa upinzani bungeni awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Hivyo ukigombea uraisi na ukashindwa hata kwa kura moja basi imekula kwako.

Ndio maana kuna kauli kwamba Dk Slaa alikuwa mgumu sana kuacha ubunge na kugombea uraisi 2010 mpaka alihakikishiwa maslahi yake na CHADEMA.
 
Kutokana na upepo wa kisiasa unvyovuma ni wazi kwamba unampendelea sana Freeman Aikaeli Mbowe. Na kumuweka katika nafasi ya wanasiasa wachache nchini wenye nguvu na ushawishi na hivyo si ajabu kusikia 2025 amechaguliwa na watanzania kuwa raisi wao.

Hivyo basi ninafikiri ipo haja katika mchakato wa mabadiliko ya katiba(KATIBA MPYA) kuwe na kipengele cha official opposion leader ambaye atakuwa ni mgombea aliyeshika nafasi ya pili katika kura za uraisi.

Hii itampa uhakika wa kuwepo bungeni na kuongoza kambi ya upinzani iwapo atashindwa na mgombea wa CCM katika kura za uraisi.

Katiba ya sasa inalazimisha kiongozi wa upinzani bungeni awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Hivyo ukigombea uraisi na ukashindwa hata kwa kura moja basi imekula kwako.

Ndio maana kuna kauli kwamba Dk Slaa alikuwa mgumu sana kuacha ubunge na kugombea uraisi 2010 mpaka alihakikishiwa maslahi yake na CHADEMA.
Ndani ya Serikali 3,

Mbowe anaqualify kuwa kiongozi au Waziri mkuu wa Tanganyika.

Nafasi ya Urais Ina wenyewe. Bt yote ni Kwa maslah ya nchi.

Ameeen
 
Ni bora ungechambua kuna faida gani ya uyo kiongozi wa upinzani atakaeshika nafasi ya pili katika kura za urais awepo bungeni kuliko kusema katiba ipotishwe ivyo kwa sababu tu mbowe asikosekane popote nchi ilikwepo na itaendelea kuwepo kabla na baada ya mbowe kwaiyo kwaiyo sio sawa kusuka katiba kwa ajiri ya mtu mmoja je kesho na kesho kutwa mbowe akitutoka tutabadilisha tena katiba kuondoa hicho kipengele? yaani ni sawa na waliosema ibadilishwe katiba magufuri aendelee kuwa rais hata baada ya mihula yake miwili kuisha haya kama ingeptitishwa ivyo na magufuri ameshatutoka je tungerudisha katiba kama mwanzo iwe mihula miwili tu au na mama nae tungemwacha aendelee bila kikomo
 
Kutokana na upepo wa kisiasa unvyovuma ni wazi kwamba unampendelea sana Freeman Aikaeli Mbowe. Na kumuweka katika nafasi ya wanasiasa wachache nchini wenye nguvu na ushawishi na hivyo si ajabu kusikia 2025 amechaguliwa na watanzania kuwa raisi wao.

Hivyo basi ninafikiri ipo haja katika mchakato wa mabadiliko ya katiba(KATIBA MPYA) kuwe na kipengele cha official opposion leader ambaye atakuwa ni mgombea aliyeshika nafasi ya pili katika kura za uraisi.

Hii itampa uhakika wa kuwepo bungeni na kuongoza kambi ya upinzani iwapo atashindwa na mgombea wa CCM katika kura za uraisi.

Katiba ya sasa inalazimisha kiongozi wa upinzani bungeni awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Hivyo ukigombea uraisi na ukashindwa hata kwa kura moja basi imekula kwako.

Ndio maana kuna kauli kwamba Dk Slaa alikuwa mgumu sana kuacha ubunge na kugombea uraisi 2010 mpaka alihakikishiwa maslahi yake na CHADEMA.
hivi kuna mwanasiasa gani wa upinzani nchini mwenye ushawishi zaidi ya Mbowe?
 
Kutokana na upepo wa kisiasa unvyovuma ni wazi kwamba unampendelea sana Freeman Aikaeli Mbowe. Na kumuweka katika nafasi ya wanasiasa wachache nchini wenye nguvu na ushawishi na hivyo si ajabu kusikia 2025 amechaguliwa na watanzania kuwa raisi wao.

Hivyo basi ninafikiri ipo haja katika mchakato wa mabadiliko ya katiba(KATIBA MPYA) kuwe na kipengele cha official opposion leader ambaye atakuwa ni mgombea aliyeshika nafasi ya pili katika kura za uraisi.

Hii itampa uhakika wa kuwepo bungeni na kuongoza kambi ya upinzani iwapo atashindwa na mgombea wa CCM katika kura za uraisi.

Katiba ya sasa inalazimisha kiongozi wa upinzani bungeni awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Hivyo ukigombea uraisi na ukashindwa hata kwa kura moja basi imekula kwako.

Ndio maana kuna kauli kwamba Dk Slaa alikuwa mgumu sana kuacha ubunge na kugombea uraisi 2010 mpaka alihakikishiwa maslahi yake na CHADEMA.
Nonsense
 
Kwenye ubora wenu
IMG-20230104-WA0005.jpg
 
Ni bora ungechambua kuna faida gani ya uyo kiongozi wa upinzani atakaeshika nafasi ya pili katika kura za urais awepo bungeni kuliko kusema katiba ipotishwe ivyo kwa sababu tu mbowe asikosekane popote nchi ilikwepo na itaendelea kuwepo kabla na baada ya mbowe kwaiyo kwaiyo sio sawa kusuka katiba kwa ajiri ya mtu mmoja je kesho na kesho kutwa mbowe akitutoka tutabadilisha tena katiba kuondoa hicho kipengele? yaani ni sawa na waliosema ibadilishwe katiba magufuri aendelee kuwa rais hata baada ya mihula yake miwili kuisha haya kama ingeptitishwa ivyo na magufuri ameshatutoka je tungerudisha katiba kama mwanzo iwe mihula miwili tu au na mama nae tungemwacha aendelee bila kikomo
Unataka ufafanuzi gani?! Wakati kila kitu kipo wazi nimesema mgombea atakaeshika nafasi ya pili katika kinyang'anyizo cha urasi ndio awe kiongozi upinzani bungeni. Sio mbunge ambaye amechaguliwa na wapiga kura wa jimbo moja.
 
Hii itampa uhakika wa kuwepo bungeni na kuongoza kambi ya upinzani iwapo atashindwa na mgombea wa CCM katika kura za uraisi.
Soma hii aya yako vizuri
Unataka ufafanuzi gani?! Wakati kila kitu kipo wazi nimesema mgombea atakaeshika nafasi ya pili katika kinyang'anyizo cha urasi ndio awe kiongozi upinzani bungeni. Sio mbunge ambaye amechaguliwa na wapiga kura wa jimbo moja.
Point yako imeijenga kwa dhana kwamba ni lazima mbowe awepo either ikulu au bungeni haujasema nini hasa faida za kiongozi atakaeshika nafasi ya pili katika kura za uraisi kuwepo uko bungeni bila kujali atakua mbowe au mwingine yoyote
 
Back
Top Bottom