Siyo kila EX ni Expired, nyingine ni Example!

Siyo kila EX ni Expired, nyingine ni Example!

Juzi hapa X baada ya mwaka kuolewa akaja Dar akimtangulia mume wake... Basi akaja kwangu mzee mzima nikavua pete zote nikaweka pembeni nikagegeda wee... Aisee yule mwanamke ni mtamu balaa! Baada ya siku mbili mume wake akaja wakakutana huko ukweni then wakarudi zao Mbeya. Siku akikaribia tu kuja mzee mzima napigiwa simu nijiandae.

Yupo mwingine huyo ndo kasema lazima anizalie mtoto. In short kwenye simu yangu nina ma-X kama 24 hivi wale wa muhimu na wote kwenye social networks zangu zote nimewaweka!! Hao hatuokaa tuachane kamwe ila kila mmoja kwa wakati wake na hawajuani!

Asikudanganye mtu, kuna wanawake na wanawake. Kuna wanawake watamu hadi ukigegeda mwingine hisia unahamishia kwake unapiga gemu la balaa demu anafikiri kakukoleza kumbe aliyekukoleza yupo miles 1000! Wanaume tuna siri nyingi ndani ya mioyo yetu.
Jamani ni hayo tu! (Copy and paste)
 
Teh ukweli unaochoma, najua hata wangu anagegedwa na EX wake.... Ushahidi upo wazi ila huwa napretend tu
 
Juzi hapa X baada ya mwaka kuolewa akaja Dar akimtangulia mume wake... Basi akaja kwangu mzee mzima nikavua pete zote nikaweka pembeni nikagegeda wee... Aisee yule mwanamke ni mtamu balaa! Baada ya siku mbili mume wake akaja wakakutana huko ukweni then wakarudi zao Mbeya. Siku akikaribia tu kuja mzee mzima napigiwa simu nijiandae.

Yupo mwingine huyo ndo kasema lazima anizalie mtoto. In short kwenye simu yangu nina ma-X kama 24 hivi wale wa muhimu na wote kwenye social networks zangu zote nimewaweka!! Hao hatuokaa tuachane kamwe ila kila mmoja kwa wakati wake na hawajuani!

Asikudanganye mtu, kuna wanawake na wanawake. Kuna wanawake watamu hadi ukigegeda mwingine hisia unahamishia kwake unapiga gemu la balaa demu anafikiri kakukoleza kumbe aliyekukoleza yupo miles 1000! Wanaume tuna siri nyingi ndani ya mioyo yetu.
Jamani ni hayo tu! (Copy and paste)


Na Maex ndiyo waambukiza ukimwi wazuri sana
 
X mtamu ni yule aliyeolewaa, yaan unapiga kibabe ukimkomoaa mchizi.

Kuna moja kila baaaya ya kupigaa ananiambiaa mwenyewee namtafutiaa matatizo na yeye anashindwa kuachaaa
 
labda niwe nime
Kweli Mkuu wanawake Psychology yao kazi anaweza kukutana na Aliemtoa Bikra na akampa Tena
labda niwe nimetekwa ufahamu wangu na mapepo na sio kwa akili yangu na hofu ya mungu nimrudie..hiyo dhambi nitaenda kuiungama kwa nani? kwann ukubali kuoa/kuolewa ilihali bado ujana unakusumbua?? enyi vijana wa karne hii kuweni na hofu ya mungu nanyi mtafanikiwa ...epukeni tamaa za mwili.....tamaa ni mbaya lakini inapokuja kwenye ile taasisi ya ndoa ...tujaribu kumweka mungu mbele ..
 
labda niwe nime

labda niwe nimetekwa ufahamu wangu na mapepo na sio kwa akili yangu na hofu ya mungu nimrudie..hiyo dhambi nitaenda kuiungama kwa nani? kwann ukubali kuoa/kuolewa ilihali bado ujana unakusumbua?? enyi vijana wa karne hii kuweni na hofu ya mungu nanyi mtafanikiwa ...epukeni tamaa za mwili.....tamaa ni mbaya lakini inapokuja kwenye ile taasisi ya ndoa ...tujaribu kumweka mungu mbele ..
Safi sana kwa kujitambua maana badhi ya wanawake cjui wanakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom