Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,997
mwaka juzi nilienda Barclays Mbeya mjini nikaomba kuonana na Afisa mikopo. akaja jamaa fulani bila hata kukaa chini akaniuliza unafundisha wapi? salary slip? nilishangaa.
juzi kati nilienda kataasisi fulani ka fedha nikakutana na kasista nako kanauliza ninakofundisha!
tunajua watumishi wengi ni walimu na hii ishu haina shida kubwa. lakini hili swala linaonyesha mnavyofanya kazi kwa mazoe, kutojali wateja kwa kutokuwa wasikilizaji wazuri na ujinga mwingine mwingi.
juzi kati nilienda kataasisi fulani ka fedha nikakutana na kasista nako kanauliza ninakofundisha!
tunajua watumishi wengi ni walimu na hii ishu haina shida kubwa. lakini hili swala linaonyesha mnavyofanya kazi kwa mazoe, kutojali wateja kwa kutokuwa wasikilizaji wazuri na ujinga mwingine mwingi.