Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,289
Reaction score
38,942
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!

Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!

Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!
 
we kweli ataacha kuzomewa wakati maandalizi yanafanya na mwenyekiti wa mkoa Diallo alishapigwa buti Mlongo hana adabu matusi kwa wananchi mabula aliwawafukuza wamachinga kumwaga vyakula vya mama ntilie amejitafutia mwenyewe balaa angoje watu wa misungwi watamsuuza roho kwa vigelegele lakini ilemela na Nyamagana asahau
 
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!

Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!

Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!

Kushangiliwa na kuji nye....... Kipi bora????
 
Pombe yupo Vingunguti kuanzia jioni ndo anakuwa Mwanza
 
Ikiwa hajawashambulia wagombea wengine kwa kejeli na vijembe siungi mkono zomea zomea
 
Lowasa kabla hajaenda Mwanza maandalizi yalikuwepo tayari yaani wananchi walishajiandaa huyu mtu wa sisiemu hadi wabebe watu kwenye malori
 
We karani wa Vibaka Ltd ndo umetumwa kuleta uozo hapa? Hakikisha unapata malipo wiki hii else baada ya kusambaratishwa wiki ijayo hakutakuwa na malipo

Azomewe tuu maana hakuna namna
 
Leo jiji la Mwanza limekua la tofauti sana baada ya Magari ya mizigo kubadilishwa kazi na kubeba abiria huku yakipambwa kijani na njano.Niko hapa Buzuruga naona malori zaidi ya 50 yakitoka maeneo ya Buswelu,Mahina, Igoma,Buzuruga ,Kisesa ,Magu nk.
Ombi langu ni waandaaji wakumbuke kuwarudisha watu makwao maana kutoka Furahisha mpaka Magu ni umbali mrefu na jioni usafiri huwa ni wa shida
 
Leo jiji la Mwanza limekua la tofauti sana baada ya Magari ya mizigo kubadilishwa kazi na kubeba abiria huku yakipambwa kijani na njano.Niko hapa Buzuruga naona malori zaidi ya 50 yakitoka maeneo ya Buswelu,Mahina, Igoma,Buzuruga ,Kisesa ,Magu nk.
Ombi langu ni waandaaji wakumbuke kuwarudisha watu makwao maana kutoka Furahisha mpaka Magu ni umbali mrefu na jioni usafiri huwa ni wa shida

Mwanza ni CCM wewe
 
Back
Top Bottom