Siwezi tena kufanya mapenzi bila condom

Siwezi tena kufanya mapenzi bila condom

Condom nzurii ni zipii aisee...ninunuee boksi kabisaa!!
 
Kutawaliwa na mke ni kujitakia mkuu?

hakuna jambo linatokea kwa bahati mbaya, labda majanga ya asili kama tetemeko,mafuriko, njaa, plague na vitu vinavyoendana na hayo.
Mkuu hujanielewA, akitawaliwa mkeo na tamaa za mwili utamzuiaje!!
N.B kugegedewa!
 
Me sikumbuki mara ya mwisho kutumoa condoms ilikua lini...kwanz kuions tu napata kichefu chefu.
 
Kapimeni kisha muwe waaminifu,pia muàndae vya kutosha kuzuia michubuko
 
Ila baadhi ya Dada zetu wanaroho ngumu. Eti sipendi Condom wakati hata hajui status yako.
 
Back
Top Bottom