Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,750
Nahisi nimeathirika kisaikolojia.
Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kusex na mwanamke mmoja ambaye inadaiwa ni mwathirika ambaye yupo katika medication, na katika kufanya nae nilipiga peku japo ilikuwa kimoja.
Basi toka hapo nikawa mtu ambaye sina amani nikijua nimeukwaa yaani hadi napima baada ya miezi 9 nilikuwa siamini majibu ya hospitali ninapoambiwa nipo mzima yaani negative.
Basi tokea miaka hiyo mpaka leo najikuta siwezi kufanya peku tena nishawaacha wanawake wengi wakaondoka geto kwa kukataa kutumia condom nahisi tu kila mwanamke anae kiasi kwamba siwezi kufanya nae peku.
Shida inakuja kwa mwanamke wangu ninaempenda nae pia siwezi fanya peku yaani lazima nitumie condom amenilalamikia sana kuhusu tabia yangu ya matumizi ya condom anahisi mimi simuamini kiukweli roho inauma maana nampenda hilo Mungu anajua.
Nifanyeje wanandugu niwe comfortable kufanya peku tena?
Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kusex na mwanamke mmoja ambaye inadaiwa ni mwathirika ambaye yupo katika medication, na katika kufanya nae nilipiga peku japo ilikuwa kimoja.
Basi toka hapo nikawa mtu ambaye sina amani nikijua nimeukwaa yaani hadi napima baada ya miezi 9 nilikuwa siamini majibu ya hospitali ninapoambiwa nipo mzima yaani negative.
Basi tokea miaka hiyo mpaka leo najikuta siwezi kufanya peku tena nishawaacha wanawake wengi wakaondoka geto kwa kukataa kutumia condom nahisi tu kila mwanamke anae kiasi kwamba siwezi kufanya nae peku.
Shida inakuja kwa mwanamke wangu ninaempenda nae pia siwezi fanya peku yaani lazima nitumie condom amenilalamikia sana kuhusu tabia yangu ya matumizi ya condom anahisi mimi simuamini kiukweli roho inauma maana nampenda hilo Mungu anajua.
Nifanyeje wanandugu niwe comfortable kufanya peku tena?