Siwezi tena kufanya mapenzi bila condom

Siwezi tena kufanya mapenzi bila condom

ukipata ukimwi na utakuwa na confidence ya kufanya peku, mkuu endelea kutumia kondom maana ukimwi upo tena usiombe ukukute
 
wanasema zinawawasha,,kampime tu mkeo mtarajiwa
 
Kapime na demu wako huyo hiyo itakusaidia kurudi katika hali yako ya zamani maana utamwamini kwa result na utakuwa huru.
Ijapo kuwa kama hamjaoana haisaidi saana.maana kuna kupokezana na washikaji wengine kwa hiyo fanya hivyo kama tayari mmeshaoana.

Maana akili za mapenzi zinajijua zenyewe
 
Ipo siku kondomu itapasuka na utaukwaa wewe kama humwamini mkeo basi mwache amtafute atakayemfaa,jinga sana ww.
 
Huna akili kabisa...unamtaja Yesu kwenye uzinzi wako...eti unamtaja na Mungu anajua kisa unataka kupiga peku

Sijajua umri wako...angalia Mungu asikupige Kofi...na kondom zako ukashangaa unao

Acha uzinzi oa kwishaa
Akupige Kofi Mwenyewe unayeniombea Mabaya
 
Akitawaliwa mkeo utamzuiaje mkuu
Cephalocaudo?
Kutawaliwa na mke ni kujitakia mkuu?

hakuna jambo linatokea kwa bahati mbaya, labda majanga ya asili kama tetemeko,mafuriko, njaa, plague na vitu vinavyoendana na hayo.
 
Kwa hiyo ulioa iliupate uhakika wa kugegeda bila maradhi...? Ila mbona kwenye ndoa pia watu hupata maambukizi ya VVU
Mkuu ni kweli hata takwimu zinaonyesha waathirika wengi wa hiv ni wanandoa
 
Sitaki kusema mengi hapa nlipo napiga dozi ya hyo kitu sababu ya condom ebu muwe mnaenda kupima mnapiga kavu bhana hizi habari za kuletana kwenye matibabu ya Lazima siyo nzuri
Sitaki kusema mengi hapa nlipo napiga dozi ya hyo kitu sababu ya condom ebu muwe mnaenda kupima mnapiga kavu bhana hizi habari za kuletana kwenye matibabu ya Lazima siyo nzuri
Sitaki kusema mengi hapa nlipo napiga dozi ya hyo kitu sababu ya condom ebu muwe mnaenda kupima mnapiga kavu bhana hizi habari za kuletana kwenye matibabu ya Lazima siyo nzuri

sio na CONDOM utamu unapungua/testless sema mnapendaga maji ya uzima yakiwa yanatiririka haya ya FUNGUS ni janjajanja tu

kama uko DSM twende tupime then tugegedane bila ndom

Mkiwa siku za hatari mnasisitiza sana matumizi ya rubber
 
Dah aisee nataman kuwa kama wewe,mm huwa nanunua kondom vizur tu naenda nazo lakini nikivaa ngoma haingog kabisa Tena mashine inalala kabisa hapo huwa navua na kuzama kavu,baada ya hapo ni kujilaumu na kwenda kupima nae
 
Kuna mtu kakwambia mfanye bila cndm?!
Mabinti wengi hawana habar na kondom,bado wanahofu na mimba zaidi kuliko ukimwi,mwingine anakwambia kabisa anataka kavu maana hajisikii raha ukivaa kondomu,cha ajabu Malaya wauzaji ndio wako Makin na matumizi ya kondomu Hawa Mabinti WA kawaida wala hajal
 
Jaman tuoneeni huruma sisi wanawake hizo condom zinatusababishia fungus jaman........ Kama unampenda mwanamke wako nenda nae hospital mkapime then mutifuane bila hayo makitu..... Siyo mazuri kwa afya ya nyuchi zetu pls
Ndio maana mm situmii nawapenda sana wanawake
 
Back
Top Bottom