Siwezi kujizuia kuuliza

Siwezi kujizuia kuuliza

danchco

Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
6
Reaction score
5
Et wananzengo humu ndani hii tabia au utaratibu au mazoea ya baadhi ya wanajamii kuishi na watoto Wa ndugu zao ikiwa wazazi wao wamepoteza maisha halafu anapokuj mgen namna ya kumtambulsha unasikia anasema "huyu ndo mtot Wa marehem (k) " umemsahau mimi watoto Wang ni hawa""
Nin maana yake naomba msaada
20180905_155041.jpeg
 
Et wananzengo humu ndani hii tabia au utaratibu au mazoea ya baadhi ya wanajamii kuishi na watoto Wa ndugu zao ikiwa wazazi wao wamepoteza maisha halafu anapokuj mgen namna ya kumtambulsha unasikia anasema "huyu ndo mtot Wa marehem (k) " umemsahau mimi watoto Wang ni hawa""
Nin maana yake naomba msaadaView attachment 954754
Karibu kwenye Ulimwengu wa Social Media.

You are never too late!
 
Sio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.

Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutulea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF
Umenikumbusha jana nilikuwa naangalia RT tv wakifanya interview na CEO wa bitcoin cash yule host alisema waafrika tupo nyuma na mambo ya internet tutawezaje kuitumia cryptocurrency wakati kuna watu hata simu hawana.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Huo ni unyanyapaa tu, ubaguzi usio na tija yoyote. Jamii ya watu wenye kujitambua humfanya sawa na watoto wa hapo. Hutoa huduma zote muhimu bila ubaguzi.

Vipi mkuu hiyo picha ina uhusiano gani na mada, au huyo ndio mnyanyapaliwa?
 
Et wananzengo humu ndani hii tabia au utaratibu au mazoea ya baadhi ya wanajamii kuishi na watoto Wa ndugu zao ikiwa wazazi wao wamepoteza maisha halafu anapokuj mgen namna ya kumtambulsha unasikia anasema "huyu ndo mtot Wa marehem (k) " umemsahau mimi watoto Wang ni hawa""
Nin maana yake naomba msaadaView attachment 954754
Mkuu labda sijaelewa vizuri ila hiyo picha ina uhusiano gani na mada?
 
Sio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.

Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutulea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF
...............Tekno zinafanya vurugu sana mtaani,ukipita hivi unakutana na huyu anapiga picha makalio kayabinua,mwengine midomo kaivuta kule kuna mwengine anaongea na simu Tekno yake mchana wa saa sita ila imewasha torch mara kuna simu inaita katikati ya watu utashangaa wote wanajipapasa.

Mchina kaokoa wengi!
 
...............Tekno zinafanya vurugu sana mtaani,ukipita hivi unakutana na huyu anapiga picha makalio kayabinua,mwengine midomo kaivuta kule kuna mwengine anaongea na simu Tekno yake mchana wa saa sita ila imewasha torch mara kuna simu inaita katikati ya watu utashangaa wote wanajipapasa.

Mchina kaokoa wengi!
Hahah sio kawasha Tochi ...MKUU TOCHI IMEJIWASHA YENYEWE!

kama vile unavyoweza kujipiga au kutuma sms kwa watu wanaokudai ikisema kua huna mpango wa kulipa.
 
Et wananzengo humu ndani hii tabia au utaratibu au mazoea ya baadhi ya wanajamii kuishi na watoto Wa ndugu zao ikiwa wazazi wao wamepoteza maisha halafu anapokuj mgen namna ya kumtambulsha unasikia anasema "huyu ndo mtot Wa marehem (k) " umemsahau mimi watoto Wang ni hawa""
Nin maana yake naomba msaadaView attachment 954754
Facebook senior user
 
Back
Top Bottom