Raha mojawapo ninayofurahia kila siku ni pale mke wangu anapotandika kitanda chetu kwa mkao aupendao. Saa nyingine mtandiko wa kitanda huwa na ujumbe fulani kwangu. Hujui kwamba mtandiko unaweza kukueleza kwamba leo hakuna gwaride ama leo gwaride ni muhimu tena haraka? Hayo ni mawasiliano ya ndani ya wawili hao.
Sasa kama wewe unachukia sijui kama unatafakari. Kama ni mwanaume jifunze hilo, na kamani mwanamke kula nzoke hiyo. Kutandika kitanda could be ni kuvunja kikombe, hasa kama mzee kavimba kutoka alikotoka, akikuta mandhari fulani nyumbani anaelewa kama wewe unamjali au la. Hata jikoni kuna wakati mambo yanabadilika kukuletea ujumbe kwamba jiandae babu! Kwa baya au zuri. Utaendelea kulalamika kama hujui kusoma maandishi ukutani na kitandani. Kalagha baho.
Leka
Huyo uliyenaye vipi? By the way kipi bora kwa mwanaume: Anayekupa majambo kisawasawa au anayefanya usafi kama mwanamke lakini kwenye majamboz hamna kitu?
.........Na umempata huyo mwanamke, inaelekea anakuvumilia kweli kweli. Mimi ningempata mwanaume mwenye tabia kama hiyo yako, kwenye hicho kipengele cha usafi wa ndani tungeshindwana. Raha ya wapenzi msaidiane kazi hata za ndani,sio msaidiane/ mshirikiane kwenye majambozi tu.
Bora ni yule ambaye tunapeana majambozi kisawa sawa na kusaidiana katika mambo mengine kisawa sawa.
hahahahahah ni kweli Pretty nampenda wa kwangu tuko 50/50 sometimes atakwambia wife na wewe uwe unapumzika hujakuwa punda ngoja nikamate usukani atatandika ,ataniandalia chai ,ataosha vyombo ila mie ndo najisikia aibu inabidi nisaidie atanifanyia vyovyote anavyojisikia
mabinamu Msiseme Limbwata hapa
hahahahahah ni kweli Pretty nampenda wa kwangu tuko 50/50 sometimes atakwambia wife na wewe uwe unapumzika hujakuwa punda ngoja nikamate usukani atatandika ,ataniandalia chai ,ataosha vyombo ila mie ndo najisikia aibu inabidi nisaidie atanifanyia vyovyote anavyojisikia
mabinamu Msiseme Limbwata hapa
hahahahahah ni kweli Pretty nampenda wa kwangu tuko 50/50 sometimes atakwambia wife na wewe uwe unapumzika hujakuwa punda ngoja nikamate usukani atatandika ,ataniandalia chai ,ataosha vyombo ila mie ndo najisikia aibu inabidi nisaidie atanifanyia vyovyote anavyojisikia
mabinamu Msiseme Limbwata hapa
Usikwepe swali mama! Chagua kimoja. Anayekupa majamboz kisawasawa lakini usafi hana taimu nao na mwingine anayekusaidia usafi na kupika lakini kitandani jogoo la kibisa. Chagua mmoja twende sawa mama!
Nadhani huyu wa pretty anayaweza yote,anajua ku-care na majambozi hayo ndo usiseme.Kila fani amebobea.
raha ya ndoa MAJAMBOZI BANA!kutandika kitanda????......HELL TO THE NO!
Nadhani huyu wa pretty anayaweza yote,anajua ku-care na majambozi hayo ndo usiseme.Kila fani amebobea.
Ndio maana nikasema kuna wanaume wanajua kucare kila sehemu kuanzia kitandani hadi kwenye kazi za ndani.
Mwanaume kama huyu anayekusaidia kazi za ndani na anajua mwenzangu muda mwingine naye anachoka ni mzuri sana, na kila siku mwanamke utamuona wa maana sana na utajihisi kweli unapendwa.
Kama ulikuwepo vile shost, my hubby kabobea kote kote.
Hongera FL1 una bahati kama nini!
Pretty! sori ofu topik,Hivi hii avatar yako huyo ni mwanao,au wewe ulipokuwa mdogo?
Kama ulikuwepo vile shost, my hubby kabobea kote kote.
ukimwona ngedere mjini ujue ana mwenyewe
Hahaha! Kila utakayemuuliza hapa atasema hubby wake anamfanyia hivyo. Hata wife wangu huwa namsikiaga akijifagilia kwa wenzie jinsi navomsaidiaga! Kalaghabaho! All men same same. Nimesoma boarding school tangu O-level mpaka chuo, sikuona tofauti yetu. So, women, keep on cheating yourselves.