Siwahi tena kufika kileleni

Siwahi tena kufika kileleni

Kabala ya show siku mbili au tatu huwa najiandaa kwa show.
Nakunywa maziwa fresh asubh mchana na jioni kila siku
Natumia asali asubh na jioni
Nakula ugali na nyama choma kila siku.
Huwa najitahidi kabisa kuacha mawazo.

NB. Hapa mtoto wa watu kama asipo omba naomba nipumzike atakuwa ni mzimu huyo.

Tule na tujiandae vizuri kabla ya mechi hutokuja jutia
Mechi nzuri inahitaji maandalizi sio unatoka zako huko na stress basi ukapige show utapata aibu ya mwaka.
Lishe inasaidia Sana kuliko hayo makorokoro wanayojidunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli bro..
Ukila chakula kama ugali wa ulezi na nyama,matunda yako hasa tikiti maji au parachichi utapiga show ya maana sana.

Ila sex ni mindset ukiwa powa hutotumia hayo madawa yao. Mie nauita uchafu uchafu tu
Ni mataka taka TU wanajisumbua,

Show ya maana kula Sana,
Nafaka zisizokobolewa, matunda ulotaja, maziwa, tangawizi, n.k

Tena hii ukifanya ndio mlo wako wa kila siku, utashangaa mwnyw mabadiliko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni product yako?
Nice promo

Tafuta movie inaitwa made from china..
Utajua ujui ni mindset tu.
Sure mkuu..huko enz hizo nilishapigaga nyeto 10 years mfululizo na show hazikua zinanisumbua
 
lipia tangazo mkuu,


Hakuna mwanaume asie na nguvu za kiume, ila mawazo finyu na uelewa ndo unatufanya tujiweke kwenye mazingira ya kutokuwa na nguvu za kiume.
 
Kwa hiyo minyoo walikua wanakupunguzia nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom