Siwaelewi wanasimba wenzangu walioumia kukosa ubingwa, hivi sasa Simba ni klabu ya tano kwenye 5 year ranking

Siwaelewi wanasimba wenzangu walioumia kukosa ubingwa, hivi sasa Simba ni klabu ya tano kwenye 5 year ranking

watu kibao

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
466
Reaction score
1,645
Kama ni kukosa sio mara ya kwanza hata mtani na yeye alikosa, alipoishia tumepafikia hakutakuwa na zile kelele za abiola cup ya miak 30 iliyipita.

Tujipange kwa msimu ujao LIGI YA MABINGWA

Huu ndio msimamo wa 5 year Ranking, hata Pyramids ya mzee wa kutetema ikishinda watakusanya points 47 tutawaacha kwa point 1

1748194369420.png
 
Kama ni kukosa sio mara ya kwanza hata mtani na yeye alikosa, alipoishia tumepafikia hakutakuwa na zile kelele za abiola cup ya miak 30 iliyipita.

Tujipange kwa msimu ujao LIGI YA MABINGWA

Huu ndio msimamo wa 5 year Ranking, hata Pyramids ya mzee wa kutetema ikishinda watakusanya points 47 tutawaacha kwa point 1

View attachment 3345708


Una akili sana wewe..! Yaani wewe genius.

Baeleze...baeleze..
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Makelele SC.
5. Malalamiko/Lia lia SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau/Mapaka SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mwakarobo SC.
11. Mbeleko/Bebwa bebwa SC.
12. Manguruwe SC.
13. Miso Misonda SC.
14. Mikia SC.
15. Mbuzi SC.
16. Zuwena SC.
17. Khamsa Khamsa/5imba SC.
18. Kufa Kiume SC.
19. Kikanuni SC.
20. Bahasha SC.
21. Ngada SC.
22. Kolowizards SC.
Screenshot_2025-05-18-12-05-22-14_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
 
Mlitakiwa mjifunze kwa Yanga alipomfunga Mwarabu mbele ya maelfu ya mashabiki wake, huku muda wote wa mchezo akitamani mpira uishe.
Na nyinyi mlifungwa mbele ya maelfu ya mashabiki wenu.
Cha kujifunza fainali usitegemer matokeo ya nyumbani yatakubeba
 
Kama ni kukosa sio mara ya kwanza hata mtani na yeye alikosa, alipoishia tumepafikia hakutakuwa na zile kelele za abiola cup ya miak 30 iliyipita.

Tujipange kwa msimu ujao LIGI YA MABINGWA

Huu ndio msimamo wa 5 year Ranking, hata Pyramids ya mzee wa kutetema ikishinda watakusanya points 47 tutawaacha kwa point 1

View attachment 3345708
Na katika huo msimamo wote hadi namba 14 hiyo ni maajabu ya Dunia kuwa nafasi hiyo kuwazidi hao wote ambao wanamiliki makombe ya CAF isipokuwa 5 pekee. Ingekuwa Mimi hata nisingeweka huu upupu.
 
Hawajaumia sababu hiyo, wanaumia sababu ya vicheko humu ndani na changamoto za Yanga!
 
Inakuwaje ASEC mwenye point 33 yupo chini ya AL-Hilal mwenye 32?
 
Mimi pia siwaelewi , na zaidi siwezi kuumia kwa kuchukuliwa ubingwa na timu mbovu iliyopewa refa wa kimkakati wawasaidie kuchukua ubingwa.
 
Kuna mmoja ni 5imba lia lia kwenye mechi za simba yupo fasta kuweka updates,itakua walibet huko ofisini akawahiwa kwenye editing baada ya mechi
hao ni mods waliedit heading baada ya kuisha kwa game. Tuna mods mashabiki wenzetu wa yanga
 
Uyu jamaa Yuko vizuri
 

Attachments

  • FB_IMG_1748237087733.jpg
    FB_IMG_1748237087733.jpg
    42.9 KB · Views: 16
Kama ni kukosa sio mara ya kwanza hata mtani na yeye alikosa, alipoishia tumepafikia hakutakuwa na zile kelele za abiola cup ya miak 30 iliyipita.

Tujipange kwa msimu ujao LIGI YA MABINGWA

Huu ndio msimamo wa 5 year Ranking, hata Pyramids ya mzee wa kutetema ikishinda watakusanya points 47 tutawaacha kwa point 1

View attachment 3345708
Kwenye hii ranking, wakiingiza idadi ya makombe ambayo timu imepata kwenye msimu, 5imba inashuka huko mwishoni mwishoni.
 
Back
Top Bottom