Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,085
Linakuwa hilo lakini kwa juu kuna shower . So ni hiari kukaa kwenye bathtub au kutumia shower.Sasa Wengine bafuni wako na ilo tu
Linakuwa hilo lakini kwa juu kuna shower . So ni hiari kukaa kwenye bathtub au kutumia shower.Sasa Wengine bafuni wako na ilo tu
Umeeleza vizuri sana RRONDO , nilitamani kumueleza kwa maneno haya nikashindwa. Kinachowasumbua watu ni ushamba wa kutokujua hayo kazi yake nini na palipo na hayo kuna nini. Huwezi weka bathtub halafu usiweke bomba la mvua hapohapo au pembeni kutegemea na ukubwa wa bathroomUkiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe. Kwenye picha ulizoweka ipo moja ina shower. Mara nyingi mtu mwenye uwezo wa kuweka bath tub hashindwi kuweka na shower hapo hapo au kwenye kisehemu kingine pembeni. Bath tub sio kwa ajili ya kuoga kuondoa mauchafu yako uliyotoka nayo gereji huko, hio ni kwa ajili ya relaxion baada ya uchovu na stress za siku nzima ndio maana unakuta wengine wanaingia na vitabu au wanalala kabisa.
Exactly! Ni background na kukosa exposure ndio kunasumbua wengi.That says a lot kuhusu ulipokulia. Na aina ya familia yako, uliyotoka.
Kwasababu huyajui, huwezi penda kitu usichokijuaSijawahi kutayapenda haya makitu
Hilo huwa ni kwa ajili ya kusimama na kukaaBora ukae aisee
Siku isiyokuwa na jina utateleza kwenye sinki hilo upige kisogo
This is what I know, sijawahi enda popote nikakuta bathtub bila shower headSidhani kama kuna bathroom yenye bathtub tu peke yake bila kuwa na shower head. Kwa sababu kwanza kuoga kwenye bathtub ni leisure, lazima uwe na utulivu/muda. Pale unapohitaji haraka haraka unatumia shower.
Hayo yanakuwaga maintained vizuri kwenye hotel za kuanzia laki moja kwenda juu. Lodge ya elfu 25 hata taulo zao siwezi kutumia maana standard za usafi sidhani kama zinafikia viwango vya kukidhi kuzuia magonjwaHapa Temeke kwa sokota ipo Lodge moja inaitwa Crescent room 25k lipo hilo dubwasha ila binafsi halikunivutia maana nimelikuta lichafu afu nilikua na ugwadu wa mbususu ya mtalaka wangu
Hilo ni kwa ajili ya master bedroom, sio bathroom ya public.Make sure hilo dude umeliweka Masterroom.... unalitumia wewe mwenyewe...
Usafi wa haya madude ni muhimu sana,,,ndio maana hotels nyingi haya madude yamewashinda usafi..
Yamekuwa yanabadilika hadi rangi
Hilo kwangu nimelifanya pipa la kutunzia maji..mda wenyewe uko wapi,kuondoka kombora kurudi lala salama..kuiga huku mhh😆Tumezoea unaoga uchafu unatoka mwilini, sasa ile unaoga afu uchafu unarudi Kwenye maji Yale Yale Ni KERO Sana kiukweli.
Unaharaka zako unahitaji uoge chap chap uende zako afu unakutana na mtihani wa kutumbukia mzima mzima ujiloweke kwanza Kwenye beseni.
Ni kupotezeana muda kiukweli.View attachment 2036636View attachment 2036637View attachment 2036638