GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
kwa wanaofahamu money laundering haina tofauti na kuiba gari, ukajaribu kufuta chasis number yake original halafu ukaweka yako feki, ukaibadili rangi na vitu vingine, halafu ukairudisha sokoni....sasa TAKUKURU wanaweza kushulikia wizi wa magari au vifaa vinginevyo....money laundering ni wizi sio lazima iwe rushwa...kwanini TAKUKURU washulikie suala hili
Na je ivi TAKUKURU wanajua kweli wanachokifanya? na je wanauwezo kweli wa kufanya wanachotakiwa kufanya?
Na je ivi TAKUKURU wanajua kweli wanachokifanya? na je wanauwezo kweli wa kufanya wanachotakiwa kufanya?