Sitta-tuibane serikali isisamehe mambo ya hovyohovyo! Mambo yakiwa magumu CCM si mama wa baba yake

Sitta ni mmoja katika genge hilo ndio maana alifunga mjadala wa Dowans mara tu aliotishiwa kunyang'anywa kadi yake ya CCM na hivyo kukosa sifa za kuendelea kuwa Spika. laiti kama angekuwa jasiri na kuachaia mjadala uendelee leo hii wasingefikia mahali pa kulipa fedha zote hizo. Ni kwamba nataka kutumia hasira za watanzania kujisafishia nia ya urais 2015.
 
Tusubiri tuone. Mwisho wa siku ukweli utajulikana tu.

Mkuu najua una hasira ila naomba nikuweke sawa kidogo hapo kwenye red. Neno sahihi ni HATIMAYE. Mwisho wa siku tunaitohoa kutoka kwenye neno la kiingereza 'at the end of the day' kitu ambacho si sahihi.
 
Ibaki kueleweka kwamba siasa uchwara na makundi ndani ya CCM ndiyo yaliyopelekea hili la DOWANS kufika hapa lilipo. Kama Taifa tunapaswa kulipa hiyo pesa lakini lazima wote waliohusika na kadhia hii wawajibike. List yangu ya watu wa kuwajibika ni kama ifuatavyo;
  1. Wale wote waliohusika na uamuzi wa kupokonya kazi ya procurement kufanywa na TANESCO na kufanywa na Wizara
  2. Kamati ya Dk.Mwakyembe yote kwa kutotoa ushauri mzuri wa kitaalamu/kisheria kuhusu namna nzuri ya kuuvunja mkataba ule
  3. REX attorneys (sijui hawa tunawafanyaje maana ni kampuni binafsi) kwa kuishauri serikali kuhusu kuvunja mkataba wa TANESCO na DOWANS bila kuangalia madhara yake kama vipengele vyote vya sheria visingeangaliwa vizuri.
  4. Spika Samwel Sitta kwa kushabikia na kutuaminisha kwamba kuvunjwa kwa ule mkataba kusingekuwa na tatizo lolote
Kwenye hili nadhani hao hapo kwenye list hawapaswi kukwepa lawama kwa kadhia hii.Sitaki kuwabebesha mzigo waanzilishi wa hii sinema.

Jamani huyu mzee sitta aache kuwadaa watanzania, kimsing hawezi kukwepa swala la DOWANS kwani ndiye aliyekuwa mpiga debe namba moja kwamba mitambo ya DOWANS ni haramu, mbona mitambo hiyi hiyo ndio inayotumika kuzalisha UMEME mpaka leo hii. AU kwa vile mitambo hii kwa sasa inamilikiwa na WAZUNGU ndio maana sio haramu tena , tunamuomba ajibu bila kumumunya maneno
 
Pamoja na kumbeza bwana Sitta tunapaswa kutambua kuwa ametuonesha watz mambo mengi ambyo tulikuwa hatuyajui kwakweli. sikatai kusema kuwa anaweza kuwa anali;iza kisasi kwa wenzake lkn afanye mangapi?kila mmoja anatakiwa awajibike kwa upande wake. ile sehemu ya ripoti ambyo haikusomwa alisema laiti ingesoma ingekuwa aibu kwa serikali. wananchi tulitakiwa kukataa kuendelea kufanywa wajinga kwasbb tyr tushafahamu richmond ni ka mdudu gn. tatzo letu tunakaa kulaumu na kunyoosheana vidole afu hakuna reaction yyte. nchi za wenzetu moto umeunguza msitu serikali imeshindwa kuuzima kiongozi anajiuzulu huku kwetu tumetoa macho tu tunalalamika kwa msimu afu tunakaa kimya.
 
Mzee Six!!! umeibuka tena, Karibu ila Mwakyembe yuko India kwa Matibabu ya ugonjwa tata.
 
Mkuu, unajua gharama ya kukataa kutimiliza hukumu/mkataba kutoka chombo cha sheria cha kimataifa?, it too expensive kwa responsible party than you can imagine: moja ya madhara ni muhusika(nchi/kampuni) kutopewa direct contracts whith foreign cos yaani ukutaka kununua kitu lazima utumie third part na pia mdai anaweza kukamata mali yoyote ya mdaiwa iliyopo mahali popote. Kwasasa yeyeote anayesema DWNs isilipwe hajui anachosema.

Mkuu hapo kwa point yako what should be done??? shut-up our mouth and let it go like that! haya yote ni mazalisho ya Vita baina ya sisi walala hoi na walio nacho hao viongozi wetu.

Kwa hali hiyo twatengeneza time booom ambalo sijui ni nani atakae linusuru zaidi yetu sasa na tukikaa kimya ndio twajichimbia kaburi kabisaaaa.

My Take;

wataka kusema wanasheria tulio nao wananshindwa kutuambia njia mbadala kama sisi wananchi tufanye nini basi hata hao wanansheria sio tena wako nasi bali nao wapo kuwasaaidi viongozi wetu kutunyonya sie
 
Mkinipa nchi kwa mwezi mmoja, mtu wa kwanza kumpeleka mahakani atueleze kwanini ametumia madaraka yake vibaya hata kuwaingiza watanzania kwenye matatizo makubwa ni huyu mzee anayezeeka vibaya, ni huyu SITA. Tazama, yeye ndiye aliyeipokea richmond wakati huo akiwa boss wa TIC, so alijua ni kampuni ya wahuni watatu lakini akaishauri serikali iipokee kampuni hii na sasa anasema ni wahuni, atuleze ni wapi wanafanyia uhuni wao na huu uhuni kwa nini hakuuona wakati ule?,. Pili: wakati akiwa spika, aliendesha mjadala wa hovyohovyo juu ya richmond matokeo yake ili taarifa ya kamati ni NON-BITING kwa sababu pamoja na kutumia fedha nyingi taarifa haikuleta tija kwa wananchi. Tazama pia aliendesha mjadala wa kihuni juu ya kufuta mkataba wa DOWANS siku 60 kabla ya mkataba kufa natural death- hii inaigharim serikali Bild on taxpayers money. Kama ana ugonvi na JK au EL juu ya kukosa u-PM isiwe sababu ya yeye kuhamishia maumivu kwa walipa kodi, ni juavyo mimi he remains a looser hata mwisho wa dahari.

Huyo atakayekupa nchi wewe naye atakuwa anawaza kwa kutumia masaburi kama wewe. Hata unaloliongelea hulijui. Juhudi zilizofanyika zinastahili kupongezwa vinginevyo nchi hii ingelikwishauzwa licha ya kufilisika kabisa. Pamoja na kudhibitiwa lakini bado mpaka leo mafisadi wanafanya kila mbinu kulimaliza taifa hili. Tunajua mko wengi ukiwamo wewe, lowassa, rost ham, karamagi, msabaha, ngeleja na marafiki zenu bado mnataka watanganyika maskini wajikamue wawalipe mabilioni ya hela msiyoyafanyia kazi. Siku yenu itakuja tu inshallah kama hamtazungumza hapa duniani mtayazungumza mbele ya mola wenu
 
Wansheria ethical, moral na wazalendo walisema mara baada ya hukumu ya ICC kuwa tujipange kulipa na kuwa tunayo karata ya kuzungumza na DOWANS nje ya mahakama, kama tungefanya hivyo hilieni lisingekuwa limezidi Bil 70, sasa akina Sitta wanakataa tu kuwa tusilipe lakini hawashuri namna gani tuepuke tatizo cha kushangaza ni kuwa mtu kama Sita anakaa na Rais kila mara kwenye vikao vya kuendesha nchi lakini bado anaishitaki nchi kwa wancnchi. Shame upon him.


Mkuu hapo kwa point yako what should be done??? shut-up our mouth and let it go like that! haya yote ni mazalisho ya Vita baina ya sisi walala hoi na walio nacho hao viongozi wetu.

Kwa hali hiyo twatengeneza time booom ambalo sijui ni nani atakae linusuru zaidi yetu sasa na tukikaa kimya ndio twajichimbia kaburi kabisaaaa.

My Take;

wataka kusema wanasheria tulio nao wananshindwa kutuambia njia mbadala kama sisi wananchi tufanye nini basi hata hao wanansheria sio tena wako nasi bali nao wapo kuwasaaidi viongozi wetu kutunyonya sie
 
Ni hakika wewe na wenzio wenye mawazo hayo hamfikirii kwa kutumia masaburi kwasababu muda wote masaburi yanauma shauri ya kushughulikiwa na huyo unayemtetea kwa ujinga wa waziwazi alioifanyia nchi: tazama, just do simple kindergaten arthmetic- kwa muda wa miezi miwili wa mkataba wa dowans uliovunjwa Tanesco ingelipa less than 30 bil, sasa hhuyo bwaba yako akashinikiza mkataba uvunjwe na mpaka leo hajafanikiwa kukuondolea wewe na wajinga wenzio burden ya kuvunjika kwa mkataba huo. Nontheless sasa deni ni Bil 111 na bado deni linakua- mkuu, sasa niambie unasaidia nini wewe na waTz wenzio walisipe deni hili au waendelea kuvimbishwa kichwa na na huyu hopeless person anayeitwa Sitta ambaye anamsengenya hata boss wake na kwa uroho wake hawezi kuachia ngazi ili aonekane kuwa kweli yeye ni mzalendo?!. Nakushauri uanze kufukiri kwa kutumia masaburi huenda you will come to the point kuliko sasa unavyofikiri kwa valley btween your masaburi.
Huyo atakayekupa nchi wewe naye atakuwa anawaza kwa kutumia masaburi kama wewe. Hata unaloliongelea hulijui. Juhudi zilizofanyika zinastahili kupongezwa vinginevyo nchi hii ingelikwishauzwa licha ya kufilisika kabisa. Pamoja na kudhibitiwa lakini bado mpaka leo mafisadi wanafanya kila mbinu kulimaliza taifa hili. Tunajua mko wengi ukiwamo wewe, lowassa, rost ham, karamagi, msabaha, ngeleja na marafiki zenu bado mnataka watanganyika maskini wajikamue wawalipe mabilioni ya hela msiyoyafanyia kazi. Siku yenu itakuja tu inshallah kama hamtazungumza hapa duniani mtayazungumza mbele ya mola wenu
 
Ileyekuambia kuwa atakayelipa hajulikani ni nani?, aliyeingia mkataba na aliyevunja mkataba ndio watakao lipa, mkataba ulivunjwa na Bunge la mhe.SITTA anapaswa kujua namna ya kulipa, kama shahada yake ya sheria alikuwa ameiacha nyumba ndogo akafanya maamuzi kwa kutumia uchovu wa nymba ndogo atatueleza vizuri, ndo maana anang'ang'ana kuishambulia serikali na kuomba huruma za wananchi- he reamins responsible.
Nadhani ni mitazamo tu ndo inayotugawa laiti tungejua umuhimu na thamani ya utu wetu kamwe tusingembeza mheshimiwa sitta!ametufungua mawazo walio wengi!nashangaa hii nchi hata muundo wake waserikali! Hadi anayetakiwa kulipa hajulikani!serikali inakataa na tanesco inakataa sasa jamani hii nchi au?????bado hamjajua kuwa huu ni usanii wa genge la wahuni?????mnabeza tu!!!!!!!ok one day!ninachosema, kuna mambo mengi hawa waheshiwa pamoja na mpiganaji aliyepelekwa india, wanajua mambo mengi na kama wangeyasema bungeni sidhani kama pangekalika!lakini inafika muda lazima busara zitawale!!!!!!!!!!!!!!na hiyo ndo sifa ya kiongozi mwenye iq nzuri !
 
Hao mawakili wanaotetea DOWANS kwa nini wasiwe wazalendo wakajitoa kwenye hili shauri kwa faida ya Taifa letu? au hii ni vita ya tabaka la juu kupora tabaka la chini?
Haki hupewi mkononi kama peremende ..inatafutwa na ikibidi inapiganiwa...Sasa kama wananchi tumelala..kila siku tunayaongelea Vijiweni tu..unafikiri nani atakayekupa haki yako.
Hawa Mawakili hawajaona kama kweli tumechachamaa..ndio maana hawawezi kuacha kuitetea Dowans...cha kufanya ni kuingia Barabarani tu!!!
 
Mkinipa nchi kwa mwezi mmoja, mtu wa kwanza kumpeleka mahakani atueleze kwanini ametumia madaraka yake vibaya hata kuwaingiza watanzania kwenye matatizo makubwa ni huyu mzee anayezeeka vibaya, ni huyu SITA. Tazama, yeye ndiye aliyeipokea richmond wakati huo akiwa boss wa TIC, so alijua ni kampuni ya wahuni watatu lakini akaishauri serikali iipokee kampuni hii na sasa anasema ni wahuni, atuleze ni wapi wanafanyia uhuni wao na huu uhuni kwa nini hakuuona wakati ule?,. Pili: wakati akiwa spika, aliendesha mjadala wa hovyohovyo juu ya richmond matokeo yake ili taarifa ya kamati ni NON-BITING kwa sababu pamoja na kutumia fedha nyingi taarifa haikuleta tija kwa wananchi. Tazama pia aliendesha mjadala wa kihuni juu ya kufuta mkataba wa DOWANS siku 60 kabla ya mkataba kufa natural death- hii inaigharim serikali Bild on taxpayers money. Kama ana ugonvi na JK au EL juu ya kukosa u-PM isiwe sababu ya yeye kuhamishia maumivu kwa walipa kodi, ni juavyo mimi he remains a looser hata mwisho wa dahari.

Fisadi at work
 
Kwangu mimi Viongozi kama Sitta naanza kuwaona kama wasanii fulani..Badala ya kufunguka na Data kila siku unakuwa unasema tu ''Dowans ni genge la wahuni''....kivipi??
Ni kama vile unalalamika nyumba inavuja wakati wa masika ikifika kiangazi hueiezeki wala nini??..Huyu Sitta analalamika, serikali inalalamika, CCM inalalamilka...hivi atakayechukua maamuzi ni nani??...Kama wanaona hawawezi kuchukuliana Hatua ..basi wairudishe Serikali kwa Wananchi ili wenyewe tujue tunampa nani dhamana ya kutuongoza...Shame on you guyz!!!

Amini usiamini 6 leo anacheza number 11 ya ccm ktk mech hii.
 
Siasa uchwara hizo kwanini kama anajua kitu asilipue ili tujue kama ni mbaya na iwe mbaya kwa hakuna mbaya nzuri
 
Mkuu najua una hasira ila naomba nikuweke sawa kidogo hapo kwenye red. Neno sahihi ni HATIMAYE. Mwisho wa siku tunaitohoa kutoka kwenye neno la kiingereza 'at the end of the day' kitu ambacho si sahihi.

Haya mambo nenda jukwaa la lugha! Cha msingi umepata mesej we vp?
 
Wanajamvi, huyu mtu kwa jicho la tatu namuona anachosema ana uhakika nacho!kajitokeza na kwa hekima na busara, mwenye kujiamini amesema yuko tayari kwa lolote dowans isilipwe na kasisitioza ni genge la wahuni!KASISITIZA, KUPANUA GOLI ILI MPIRA UPITE HUO SIO MCHEZO BALI NI FOUL!KASISITIZA DOWANS HAINA UHALALI WOWOTE WA KULIPWA,KAENDA MBALI NA KUSEMA NI LAZIMA TUSHIRIKIANE KUUBANA UONGOZI USISAMEHE MAMBO YA HOVYO HOVYO!

Nakubaliana na kauli yako Mkuu. Sitta pamoja na ufisadi na unafiki wake lakini amekuwa mstari wa mbele kusimama mbele ya umma wa Watanzania na kupinga kwa sauti yake ya juu kabisa kwamba Dowans haistahili kulipwa hata senti moja ya pesa za walipa kodi. Sijasikia hata mmoja wa hao ambao si wanafiki au mafisadi kama vile Pinda, Mkullo, Membe, Msekwa, Makinda na wengineo wengi wasimame mbele ya umma wa Watanzania ili kutetea maslahi ya nchi kwa kupinga malipo haya haramu, lakini watu badala ya kuwashambulia hawa waliokaa kimya huku malipo haya ya kifisadi yanataka kufanyika wameamua kumshambulia Sitta. "Oh! Ajitoe CCM ndio aongee" kama vile hastahili kupinga malipo hayo huku akiwemo ndani ya CCM/Serikali. Mzee mnafiki huyu. Pamoja na matatizo yake yote, Sitta ameonyesha njia ya kutifanya Watanzania wote (kama uko ndani ya CCM, Chadema, au hata kama huna chama) tuungane katika kusimama imara ili kuhakikisha malipo haya ambayo ni wizi wa mchana kweupe hayafanyiki. Nakumbuka kauli ya NN kwamba, "Miafrika ndivyo tulivyo" kwa sababu badala ya kuelekeza nguvu zetu zote kipindi hiki kupinga malipo ya Dowans kuna baadhi yetu wameamua kuelekeza nguvu zao kumshambulia Sitta!!! Pamoja na kuwa anachokisema kimejaa ukweli mtupu.
 
Gama-wewe nadhani una mambo yako na hii saga hata huijui ndo maana hata unachoongea nadhani hukijui vizuri bwana gama! Sita kaja lini tic na kaondoka lini???hii kampuni imekuja na kusajiliwa lini???msiwe mnapenda kufurahisha uma kwa post zenu za kinafiki, wameshauri wangapi hii serikali,wamekataa mangapi lakini umeona hii serikali ina masikio???nakuuliza umeona hii nchi inawasikiliza wataalam wetu si ndo maana nchi iko hapa leo?????unachotaka kutetea ni nini bwana! Uliza basi tukwambie!mzee sitta anachosema anakimaanisha!hawa ni wahuni na hawasitaili hata cent moja!ka unabisha basi walipe waone!itakuwa turning point ya mabadiliko tunayoyatafuta!WHERE COMPANY LEGITMACY?JE INA NGUVU YA KISHERIA??IT DOESNT MATTER SHILINGI NGAPI KINACHOONGALIWA NA UHALALI WA MKATABA!HIYO NI SHERIA NA SHERIA SI PRINCIPLE KUSEMA HAIBADILIKI!KINACHOANGALIWA NA UHALALI WAKE!

inavyoelekea huyo gama ametumwa na ha ueledi na mchakato mzima wa swala la Richmond-Dowans
 
Mkuu Malunkwi na Lukman, hivi mnajua kuwa mahakama kuu ya Tanzania imeridhia na kukazia hukumu ya ICC kuwa dwns ilipwe, so unakubaliana na Mh. Sita kuwa hukumu ya mahakama kuu ya Tanzania ipingwe kwenye media houses?!, huyu mwanasheria (Sitta) anataka wananchi waandamane kupinga hukumu ya mahakama kuu ya nchi yao, so anataka mahakimu na wafanyakazi wa mahakama kuu waandamane kupinga hukumu walioitoa wao?!, mwaasheria yeyete ambaye ana uzalendo anajua kuwa angepinga mkataba wa dowans usivunjwe kwa style ile, afterall ulikuwa unakufa baada ya siku 60 lkini 6 akapiga vigelegele akiwa spika wa bunge wakati bunge linavunja mkataba ambao ulikuwa unajifia, so bado unamuona sita na hero?!, hivi unajua kuwa 6 ni waziri na kila wiki anakaa na boss wake kujadiri namna ya kuendesha nchi?! Sasa anakuja kumshtaki boss wake kwetu bila kutueleza ameshauri nini boss wake na wamepanga kufanya nini ili tuone mahali gani kuna tatizo?!, nielewesheni vizuri kwanini huyu mzee (Sita) nisimuone kama ni muharifu namba1 juu ya swala la dwns.
inavyoelekea huyo gama ametumwa na ha ueledi na mchakato mzima wa swala la Richmond-Dowans
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom