babad
Member
- Feb 9, 2011
- 95
- 13
Nimeshangaa kumsikia bwana Sitta akisema eti yeye hajisafishi kupitia kanisani kama wengine huku akisema eti"Wanchi mnatujua vizuri sana,wachafu mnawajua na wasafi mnatujua"Hivi msafi anajitangaza mwenyewe madhabahuni?Hata viongozi wa kanisa wawe makini na kauli zao juu ya wana siasa kwani kuna mmoja alidiriki kusema wazi kwamba Sitta ni msafi,je ana uhakika?