tatizo la kimsingi la nchi yetu ni ufisadi unaotupotezea mali yetu ya taifa na kugharimu uchumi wetu kwa kutotoa tija wala ari kiuzalishaji. Lowassa ni mmoja wa wanaufaika wakubwa wa ufisadi katika CCM...mnaotaka kumpa urais eti ni mchapa kazi, nafikiri mtanufaika binafsi kwa njia moja au nyingine na Urais wake..Tz na wananchi wake hawataki Rais ajaye awe na taswira na dhamira ya mkuu wa genge la uhalifu...sitta anaweza kua mnafiki kama mwanasiasa yeyote hapa tz, lakini hajajilimbikizia mali kibinafsi kama fisadi na mnafiki Lowassa...juzi juzi anajidai eti vijana ni bomu linalongojea kulipuka, eti wafanyakazi waongezewe mishahara maisha yamepanda yeye binafsi alimuingiza kikwete akiwa anajua hana uwezo wa kuongoza na alimpangia baraza la mawaziri wasiokua na uwezo ili iwe ngazi yake ya kua Rais kiulaini baada ya Jk. Hakujali haya ya wafanyakazi wala vijana sasa yuko nje ya cabinet anaona matatizo kama siyo UNAFIKI wa hali ya juu ni nini hiki....