Sitta, Mwakyembe, Makonda & Nape, CCJ ingekuwa chama cha namna gani?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo haina mfumo wa "kuzaa,kukuza na kulea" watu wanaotegemewa kuwa viongozi huko mbeleni. Uongozi Tanzania ni zali na ukiacha ngazi za juu,hapa ngazi za katikati itategemea unaweza kujipendekeza kwa kiwango gani.

Kwa mfumo huu wenye nguvu hutumia ujinga wa Mtanzania kujipatia vyeo vya kisiasa,huku wakiwa wachafu,wanafiki,waliojaa visasi,waroho na makatili.

Ikumbukwe kwamba kuelekea uchaguzi wa 2010 kilianzishwa chama cha CCJ Chama cha Jamii,ambacho ilidhihirika kwamba ni cha waasi wa CCM. Pamoja na kuwa Ndugu Mpendazowe alitangulizwa lakini ikaja kubainika kwamba waasisi wa chama walikuwa ni Marehemu Samuel Sitta(RIP), Dr.Mwakyembe, Nnape Nauye na kijana Paul Makonda

Katika kipindi hiki cha kuanikana ndipo nimepata fursa ya kuwafahamu vizuri watu hawa na malengo halisi waliyokuwa nayo.

Fikiria jambo dogo tu,walianzisha chama kumkomboa Mtanzania au ni kutafuta fursa?Kama ni kumkomboa Mtanzania mbona walighairi baada ya kuahidiwa fursa????Yale madhira yaliyokuwa yanampata Mtanzania yalikwisha?

Mengi kuhusu Dr.Mwakyembe na Kijana Makonda sihitaji kuyarudia rudia,pia kwa bahati nzuri Mpendazoe ni mwanachama humu tunajua namna anavyojinadi kwa awamu ya tano,kiasi cha njano kuita nyeusi.

Je,fikiria kama chama hiki cha Sitta,Mwakyembe,Nape, Makonda na Mpendazoe kingeaminiwa na kushika madaraka tungekuwa tunaongozwa na watu wa namna gani

Watanzania muwe na utamaduni wa kuwafahamu vyema watu mnaotaka kuwapa uongozi,sio kufuata mikumbo tu.

MTAKUJA KUCHAGUA**********
 
Halafu hao wote uliowataja ukiacha Mpendanzoe, walikuwa mstari wa mbele kwenye mkakati wa kupambana na kumtukana Lowassa? Nadhani kuna jambo liko sirini hapo.
 
Makuzi ya kwao CCM ndiyo yamewaharibu. sisi wengine tulipokuwa huko tulijitahidi kuishi kama watoto wa kambo tukatoka salama na kujitegemea. Wanaotaka kupendwa na baba yao CCM ni lazima ukubwani wasumbue!!
 
Kwenye Siasa Hakuna Kuaminiana!

Walimtanguliza Mpenda Zoe 'kuruka mfereji ' halafu wakaghairi kumfuata!

Mzee Makamba aliwatuma Vibaka wakampora Mwnkt wa CCK Mkoba aliokuwa anazurura nao Kariakoo uliojaa Majina ya Vigogo waliopanga kuhama CCM na kujiunga na CCK na ndipo ukawa Mwisho wao na Wakati huo tayari Mpendazoe alishatema Ubunge wa Kishapu
 
Kwenye Siasa Hakuna Kuaminiana!

Walimtanguliza Mpenda Zoe 'kuruka mfereji ' halafu wakaghairi kumfuata!

Mzee Makamba aliwatuma Vibaka wakampora Mwnkt wa CCK Mkoba aliokuwa anazurura nao Kariakoo uliojaa Majina ya Vigogo waliopanga kuhama CCM na kujiunga na CCK na ndipo ukawa Mwisho wao na Wakati huo tayari Mpendazoe alishatema Ubunge wa Kishapu
Haaaaa haaaaa sikuwahi kuipata hii
 
Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo haina mfumo wa "kuzaa,kukuza na kulea" watu wanaotegemewa kuwa viongozi huko mbeleni. Uongozi Tanzania ni zali na ukiacha ngazi za juu,hapa ngazi za katikati itategemea unaweza kujipendekeza kwa kiwango gani.

Kwa mfumo huu wenye nguvu hutumia ujinga wa Mtanzania kujipatia vyeo vya kisiasa,huku wakiwa wachafu,wanafiki,waliojaa visasi,waroho na makatili.

Ikumbukwe kwamba kuelekea uchaguzi wa 2010 kilianzishwa chama cha CCJ Chama cha Jamii,ambacho ilidhihirika kwamba ni cha waasi wa CCM. Pamoja na kuwa Ndugu Mpendazowe alitangulizwa lakini ikaja kubainika kwamba waasisi wa chama walikuwa ni Marehemu Samuel Sitta(RIP), Dr.Mwakyembe, Nnape Nauye na kijana Paul Makonda

Katika kipindi hiki cha kuanikana ndipo nimepata fursa ya kuwafahamu vizuri watu hawa na malengo halisi waliyokuwa nayo.

Fikiria jambo dogo tu,walianzisha chama kumkomboa Mtanzania au ni kutafuta fursa?Kama ni kumkomboa Mtanzania mbona walighairi baada ya kuahidiwa fursa????Yale madhira yaliyokuwa yanampata Mtanzania yalikwisha?

Mengi kuhusu Dr.Mwakyembe na Kijana Makonda sihitaji kuyarudia rudia,pia kwa bahati nzuri Mpendazoe ni mwanachama humu tunajua namna anavyojinadi kwa awamu ya tano,kiasi cha njano kuita nyeusi.

Je,fikiria kama chama hiki cha Sitta,Mwakyembe,Nape, Makonda na Mpendazoe kingeaminiwa na kushika madaraka tungekuwa tunaongozwa na watu wa namna gani

Watanzania muwe na utamaduni wa kuwafahamu vyema watu mnaotaka kuwapa uongozi,sio kufuata mikumbo tu.

MTAKUJA KUCHAGUA**********
Kingekuwa chama cha giliba na husuda za hapa na pale
 
OKW BOBAN SUNZU unaweza niambia uhusiano kati ya makonda na mwakiembe?
Makonda alikuwa kijana wa Sita,na alitambulishwa na mzee Sita kwa Mwakyembe,kutokana na ukaribu wa Sits na Mwakyembe kwenye harakati za kisiasa automatically Makonda akawa ni kijana wa Sita na Mwakyembe.Na moja kati ya vijana waratibu wa CCJ Makonda alikuwa front line na ndiye aliyesimama kidete kutetea move iendelee pale mambo yalipotaka kupumburuka.

Hicho ndicho nakijua
 
Jk angekua na hobby ya Uandishi basi angetuandikia 'behind the scene ' ya Utawala wake kwny Michezo na Fitna zake za Kisiasa basi kitabu kinge Bamba sana sema ndo hivyo Tena Wanasiasa wetu na kuandika ni sawa na Mafuta na Maji'
Hapo mi ndo ninapokomaga na JK...!! Nyie rukeni rukeni; jamaa anawaangalia tu lakini siku ya siku mnajikuta mnasambaratishana wenyewe kwa wenyewe kama ambavyo walisambaratishana akina Kagame, Mu 7 na Kenyatta wao!!! Coalition of Willing ikafa kifo cha mende PK hakuwa na namna zaidi ya kuja Dar kujisalimisha!!!

Pressure alizokuwa anapata JK kwenye siasa kutoka kwa wana-CCM wenzake akizipata huyu sijui kama atapona mtu!!
 
Hapo mi ndo ninapokomaga na JK...!! Nyie rukeni rukeni; jamaa anawaangalia tu lakini siku ya siku mnajikuta mnasambaratishana wenyewe kwa wenyewe kama ambavyo walisambaratishana akina Kagame, Mu 7 na Kenyatta wao!!! Coalition of Willing ikafa kifo cha mende PK hakuwa na namna zaidi ya kuja Dar kujisalimisha!!!

Pressure alizokuwa anapata JK kwenye siasa kutoka kwa wana-CCM wenzake akizipata huyu sijui kama atapona mtu!!

Haponi Aisee na Tumuombee kwa Mungu amuepushe na Mtihani huo.
 
Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo haina mfumo wa "kuzaa,kukuza na kulea" watu wanaotegemewa kuwa viongozi huko mbeleni. Uongozi Tanzania ni zali na ukiacha ngazi za juu,hapa ngazi za katikati itategemea unaweza kujipendekeza kwa kiwango gani.

Kwa mfumo huu wenye nguvu hutumia ujinga wa Mtanzania kujipatia vyeo vya kisiasa,huku wakiwa wachafu,wanafiki,waliojaa visasi,waroho na makatili.

Ikumbukwe kwamba kuelekea uchaguzi wa 2010 kilianzishwa chama cha CCJ Chama cha Jamii,ambacho ilidhihirika kwamba ni cha waasi wa CCM. Pamoja na kuwa Ndugu Mpendazowe alitangulizwa lakini ikaja kubainika kwamba waasisi wa chama walikuwa ni Marehemu Samuel Sitta(RIP), Dr.Mwakyembe, Nnape Nauye na kijana Paul Makonda

Katika kipindi hiki cha kuanikana ndipo nimepata fursa ya kuwafahamu vizuri watu hawa na malengo halisi waliyokuwa nayo.

Fikiria jambo dogo tu,walianzisha chama kumkomboa Mtanzania au ni kutafuta fursa?Kama ni kumkomboa Mtanzania mbona walighairi baada ya kuahidiwa fursa????Yale madhira yaliyokuwa yanampata Mtanzania yalikwisha?

Mengi kuhusu Dr.Mwakyembe na Kijana Makonda sihitaji kuyarudia rudia,pia kwa bahati nzuri Mpendazoe ni mwanachama humu tunajua namna anavyojinadi kwa awamu ya tano,kiasi cha njano kuita nyeusi.

Je,fikiria kama chama hiki cha Sitta,Mwakyembe,Nape, Makonda na Mpendazoe kingeaminiwa na kushika madaraka tungekuwa tunaongozwa na watu wa namna gani

Watanzania muwe na utamaduni wa kuwafahamu vyema watu mnaotaka kuwapa uongozi,sio kufuata mikumbo tu.

MTAKUJA KUCHAGUA**********

Hata kwenye kiti alichokalia Nape,amekabidhiwa Mwakyembe sasa.
 
Back
Top Bottom