A assengagt JF-Expert Member Aug 3, 2011 289 134 Aug 3, 2011 #1 Ni bunge lipi machachari, la mzee Sitta au ili la mama Makinda? Why?
Papa Mopao JF-Expert Member Oct 7, 2009 4,108 2,510 Aug 3, 2011 #2 La Sitta ndo lilikuwa machachari, ya safari hii mipasho mingi mno!
A assengagt JF-Expert Member Aug 3, 2011 289 134 Aug 4, 2011 Thread starter #3 Mbona bunge hili ndilo linaloongoza kwa kurudisha bajet? Hauoni kuwa Sita alikuwa akizima baadh ya mijadala kwa hofu?
Mbona bunge hili ndilo linaloongoza kwa kurudisha bajet? Hauoni kuwa Sita alikuwa akizima baadh ya mijadala kwa hofu?
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 6, 2011 #6 hv hili la sasa nalo ni bunge eeh? Aisee sikuwa nafahamu!
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Aug 7, 2011 #8 Kulia na kucheka zote kelele!!! Hakuna mwenye nafuu! Magamba tuu