kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,685
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo
Wabunge wa jinsi hii hawatufai hawana Hoja za kuchachafya upinzani alisema Sitta.
Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013
Wabunge wa jinsi hii hawatufai hawana Hoja za kuchachafya upinzani alisema Sitta.
Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013