Alex Katto
Senior Member
- Mar 3, 2013
- 155
- 20
usitegemee viongozi wa dini kufanya au kuwaza kwa namna sahihi kila siku, nao ni binadam, pili usahihi ni ule wa wengi kama kiongozi yupo upande fulan wa mawazo basi huko ndo sahihi kulingana na yeye, sasabasi kama pengo ameunga mkono serikali mbili basi hayo ndo maonao yake na yupo sahihi kama wewe unavyojiona sahihi na serikali tatu, yeye kuwa rafiki na serikali ndio kazi yake yeye ni mtu wa kila mtu na sio kwamba asiwe rafiki ya fulani kisa anatenda mabaya, UPENDO HUJENGA YOOTE hivyo urafiki ni upendo na kupitia upendo huo ataweza kuwabadirisha kama wanatend mabaya,
note: YOU HAVE TO BE THE CHANGE YOU WANT TO SEE IN THE WORLD
note: YOU HAVE TO BE THE CHANGE YOU WANT TO SEE IN THE WORLD