SITTA AUMBUKA, BAADA YA TAARIFA YA Dr. Mwakyembe

Manumba kazini !
Fara kabisa.

Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
 
Katika hili, Manumba you have gone so low kiweledi kuchunguza swala la mkasa wa Dr Mwakyembe.

Hakika kwa tangazo lako hili la baada ya purukshani za ktu kama wiki mbili hivi zilizopita sana san mwenzetu umesaidia tu kutufanya wananchi tukapoteze zaidi imani na hili jeshi letu la polisi na utendaji wake wenye maswali zaidi kuliko majibu nchini.

Ni vema ikaeleweka kwamba KWA KADRI SERIKALI INAVYOENDELEA KUJIKANYAGA kuhusu mauaji ya kutumia sumu kwa Dr Mwakyembe, hivyo ndivo wananchi hata wale wasiofahamu mambo mengi saana ndivyo wanavyoendelea kuligwaya hili serikali la CCM na hatari zote hizi.
 
mimi pia naungana aliyeleta mada kuwa sitta ataumbuka maana mwakyembe amesema bado uchunguzi unaendelea so polisi na sitta wote wanyamaze hadi mwisho tujue jibu la mwisho ktk uchunguzi wa mwakyembe

Wachawi huwanga pamoja. Ila hutunguliwa mmoja mmoja
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha

Ungeweka maneno yake yote ili tujue kama Six kaumbuka au la badala ya kukatakata vipande. Halafu kama hawajagundua tatizo hizo dawa anazotumia zinatibu nini?
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha




Kakakuona umekurupuka kwa kiwango kisichovumilika, siku nyingine ni vyema na busara ukajiridhisha kifikra kabla ya kutuma ama kuanzisha thread yoyote iliyotawaliwa na hisia za kishabiki.
 
We umetumwa tu.........

Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
 
Wewe hadi wamuuwe baba na mama yako ndo utaamini kinachosemwa na sitta na mwakyembe mwenyewe. BAKI NA MAUJINGA YAKO.
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Kwenda shule ni kwa mujibu wa sheria, lakini kuwa na akili ni majaaliwa.
 
Mzee acha tuingie kwe FRIJI YA HAPA JF utaziona tu hizo nyuzi hewani si kipindi kirefu sana pale juu kabisa kwenye meza kuu ya 'Jukwaa la Sisa'.

Nadhani kwa hapo MODs hawahusiki isipokua tu ni kwamba nyuzi hizo zimebanwa na kugandmizwa chini sana na zile nyingine mpya kibao walizozianzisha wenzetu humu.

Mr Kilasara, mmoja wa WanaJF, ameniarifu pia ameandika thread inayohusu Polisi kutochunguza allegations za viongozi kutiliana sumu; na pia DCI kukanusha bila sababu za msingi kwamba Harrison Mwakyembe amelishwa sumu. Naitafuta hii thread niisome, lakini siipati.

Imefutwa pia?

Kama imefutwa, basi JF imeingiliwa au inapoteza umaarufu wake kama "great thinkers".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom