SITTA AUMBUKA, BAADA YA TAARIFA YA Dr. Mwakyembe

SITTA AUMBUKA, BAADA YA TAARIFA YA Dr. Mwakyembe

how stronger lowassa is?yaani mwakyembe akiugua ni lowassa,gari ikipata agali kwa uzembe wa driva ku overtake lori ni lowassa,roho ya mwakyembe na sitta zina hofu gani juu ya lowassa,yaani kama vile wakitembea wahisi lowassa yuko nyuma yao,
Lazima kwenye ile report kuna sehemu walichakachua ndiyo maana ya hii hofu yao.namuombea mwakyembe apone aje amalizie ile riport yale maeneo aliyowaficha wananchi halafu hofu itamtoka na ulinzi wa mungu utakuwa juu yake kwa kuwa mkweli
 
Hao Hao waliompa sumu, ndiyo Hao Hao wanampeleka Appollo kupata matibabu, mungu pekee ndo anayemlinda mzee wa watu.. U never know mafisadi ccm wanaweza kumdhuru akiwa huko apollo kwani wao ndo wana mgharamia.
 
yawezeka kapewa sumu tusubirie majibu ya mwisho ya india, halafu pia mwakyembe amuombe sitta naye afute subira maanake sitta asingeropoka mapema polisi wasingekurupuka kujibu
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha

By definnition poison is any substance which causes death or illness when taken by the body.

Na kwa hicho kipengere ulicho nakili hapo juu kinasema kuna kitu kwenye bone marrow kkilichosababisha ugonjwa wakr. Kwa nilivyoelewa ni kwamba wametamka ana sumu kwenye bone marrow kwa kutumia maana ya neno sumu bila kutaja sumu yenyewe.
 
Kwa nini kwenye taarifa ya mwakyembe alaumu polisi kutoa taarifa ya ugonjwa wake ktk media wakati uchunguzi unawendelea? Mbona asilalamike sitta ambavyo amekuwa akitoa ktk media?huwa sitta anatoa taarifa za ugonjwa wa mwakyembe kama nani? dr au mwanafamilia?
Yaani ukiwa na mawazo ya kishirikina kila saa unadhani unalogwa,abdonomalitisi ktk mwili wa binadamu ziko. kitaalamu ni gene mutation ambazo zinaishia kuleta kansa kwa hiyo yawezekana kuna sumu au hakuna sumu.
Sasa mtihani ni kuwa ni kwani sumu iwe kapewa na el na sio jk,ambaye katika ile riport aliyoficha alimsitiri jk na yeye ndio amekuwa na mawasiliano naye ya karibu kama wazir?
Unafiki wa mwakyembe umetunyima mengi wa tz

Big up!
 
kuna watu makauzu Tz,mtu yupo tayari kuharibu utu wake hata familia yake kwa mlo wa masaa machache tu

Umenikumbusha kauzu ilikuwa mboga popular sana mashuleni miaka ya semanini. Halafu ugali wa bada kutoka Mtwara! Wakati wa Mchonga meno. Kidogo niache shule, nikaamua kuvumilia had nkamaliza. Kama kweli una maana jamaa anafanana na hizo Kauzu basi huyu jamaa aliyeanzisha thread hii hafai kabisa.
 
Kakakuona umenishangaza kwa kuwa wewe ni Seniorhapa Jamvini lakini unapopotosha umma unajidhalilisha mwenyewe. Yaelekea hufatilii taarifa muhimu. Alichokisema Mh. Sitta ni hiki.."Kama wanabisha sio sumu watuambie ni kitu gani?"....."Tunayasema haya ili wahusika watupe taarifa mapema, maana hali hii inatisha sana"...sasa kaumbuka wapi mkuu.

Siamini kama ni wewe ndiye uliyekuja na wazo hili. Mimi nadhani ulitumwa ka post hili, siku nyingine pima kwanza njaa itakuponza mdogo wangu ki-fikra.
 
Yawezekana ndiyo uelewa wake. Lakini mi naona DCI Manumba ndiye katuaibisha watanzania maana ndiye kaudanganya umma wa watanzania wasomi na wasio wasomi mbaya zaidi hata huku kijijini tunajua anaongea uongo, sijui anamdanganya nani wakati ukweli unafahamika nchi nzima. Hivi aliyesoma taarifa ya Mwakyembe utamwambia nini akuelewe wakati magari yaliyotumika yametajwa na wahusika wengine lakini DCI badala ya kutuambia waliotajwa kuhusika wamechukuliwa hatua gani, yeye ndiyo anakanusha tuhuma na kuwapa tuzo watuhumiwa hao na kuwapa vyeo. Hivi kama siyo ****** nini? Hakika laana ya watanzania itaendelea kuwatafuna.
 
UPONGEZA Mh. Mwakyembe kwa ujasiri huu, nakumbuka hata alipokuwa akitoa taarifa yake Manumba alionyesha wazi kabisa kuwa alikuwa anadaganya. Shame on you Manumba, shame hadi kwa kizazi chako maana ni kizazi cha nyoka.
 
ukweli wa Sitta utabaki kuwa ukweli maana jeshi la polis,Mwakyembe, pamoja na serikali walishakula kiapo kama serikali ya Ginningi ya kugeuza ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli. Lakini wanapoelemewa ndipo wanakuja na hoja nyingine rejea taarifa ya waziri juu ya idadi ya watu waliokufa kwa ajali. Kama Sitta kasema uongo kwnini Mwakyembe asimuchukulie hatua za kisheria? Na kwanini hajakanusha kauli ya mheshimiwa? Ukweli anaujua na anachokifanya ni kutoa maelezo ambayo hataki yapishane na taarifa aliyoitoa polisi ya kutishiwa mauaji. Mambo haya yasituumize vichwa sana majibu watayatoa wenyewe.
 
yawezeka kapewa sumu tusubirie majibu ya mwisho ya india, halafu pia mwakyembe amuombe sitta naye afute subira maanake sitta asingeropoka mapema polisi wasingekurupuka kujibu

Mkuu wangu hii ni vita ya makundi hasimu ndani ya CCM. Kuna kundi kwasababu ya uoga hata mtu akiugua malaria kwa kuumwa na mbu basi anakimbilia kusema ugonjwa umesababishwa na hasimu/mahasimu wake kisiasa. Mimi naamini tamko la juzi la serikali kupitia DCI,Robert Manumba ndiyo msimamo rasmi wa serikali.
 
ukweli wa Sitta utabaki kuwa ukweli maana jeshi la polis,Mwakyembe, pamoja na serikali walishakula kiapo kama serikali ya Ginningi ya kugeuza ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli. Lakini wanapoelemewa ndipo wanakuja na hoja nyingine rejea taarifa ya waziri juu ya idadi ya watu waliokufa kwa ajali. Kama Sitta kasema uongo kwnini Mwakyembe asimuchukulie hatua za kisheria? Na kwanini hajakanusha kauli ya mheshimiwa? Ukweli anaujua na anachokifanya ni kutoa maelezo ambayo hataki yapishane na taarifa aliyoitoa polisi ya kutishiwa mauaji. Mambo haya yasituumize vichwa sana majibu watayatoa wenyewe.
 
Mkuu wangu hii ni vita ya makundi hasimu ndani ya CCM. Kuna kundi kwasababu ya uoga hata mtu akiugua malaria kwa kuumwa na mbu basi anakimbilia kusema ugonjwa umesababishwa na hasimu/mahasimu wake kisiasa. Mimi naamini tamko la juzi la serikali kupitia DCI,Robert Manumba ndiyo msimamo rasmi wa serikali.

Ndio maana ukawa Senior Expert Member, ni ukweli usiofichika huo
 
Kuna watu wanaroho mbaya hata kupita ya shetani, ila auae kwa upanga naye atauawa kwa upanga tu.
 
Hii post imeanzishwa na el mwenyewe .akika utaumbuka vibaya
 
Lakini wakuu ukisoma taarifa Mwakyembe iliyochapishwa kweny gazeti la mwanahalisi na taarifa kamili aliyonayo IJP Said Mwema watuhumiwa waliotajwa katika njama ile wamechukuliwa hatua gani? Mbona serikali inataka kutuaminisha kuwa aliyeripoti na kutoa ushahidi unaotosheleza na tena mtaalam sheria ndiye anastahili kushitakiwa. Hivi watanzani tusio na taaluma hiyo tutapona? Nyie viongozi mnatupeleka wapi?
 
Ndo maana umejihita kakakuona, Mawazo yako ni ya ajabu kama alivyo kakakuona, hata mtoto wa darasa la kwanza atakushangaa akisoma ulichokiandika.Elimu ya darasani haijakusaidia hata busara hauana. Au ujui defination ya sumu tukusaidie? EL atakutumia sana kwa uroho wako wa pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom