SITTA AUMBUKA, BAADA YA TAARIFA YA Dr. Mwakyembe

SITTA AUMBUKA, BAADA YA TAARIFA YA Dr. Mwakyembe

Wewe ni kakakuona kweli kweii, haujui defination ya sumu tukusaidie? hata mtoto wa darasa la kwanza atakusahngaa akisoma ulichoandika.
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Wewe nawe una njozi kweli.....muwe mnasomaga! habari kabla ya kukurupuka. Sasa ameumbuka Mh. Sitta au jeshi lako na serikali yako inayoudanganya umma na swala zima la Dr. Mwakyembe. WEWE NDIO MZUSHI.
 
Kwa uongo aliouweka kwenye vyombo vya habari< tuleteeni ushahidi wa mwakyembe kupewa sumu!

Sasa wewe ndugu uko upande wa nani!!??Maana bado ukweli wowote hauujui bado!Hata ukiujua tayari, huku kuumbuka wewe kunakupaje furaha? Awe kapewa sumu au la wewe unapataje satisfaction as an individual?
Nahisi wewe ni mmoja wa hawa watu wanaofurahia mambo fulani yaendelee kufichika machoni mwa watu ili watu wachache waendelee kusumbua na kuangamiza wengine.KWA KWELI KAULI YAKO INAKERA.Haionyeshi kama wewe ni MTU SAFI unayependa justice.
Maneno ya Msingi ya Dr. Mwakyembe hapo kwa ufupi tu anaonesha umma kwamba sio fair kusema hajalishwa sumu...wakati uchunguzi haujakamilika.Na kwa kusema hivyo wanamsafisha au wanamsaidia nani kupata ahueni?
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha



We lugha unaifaham kweli..? nini tofauti kati ya kuondoa na kugundua kama ulivvyo-qoute na ulivyo-conclude hapo.Mambo mengine usikurupuke siku nyingine kaa ufikirie kidogo.
 
ama kweli kuwa mwanachama wa ccm ni mzigo mkubwa huyu mwehu kaisoma taarifa ya mwakyembe mstari mmoja tu

basi kakurupuka Sita kaumbuka jamani mbona taarfa ile imeeleza kilakitu,huyu mvivu wa kufikiri anaipenda shule badala

ya kuipenda elimu hajui kwamba shule sio yake bali elimu ni mali yake popote aendako ikiwa ameipata tu
.kama

angeipenda elimu asinge post huu ****** hata kidogo
 
Wakuu wangu mimi nampongeza DCI Robert Manumba kwa kutoa taarifa ambayo atimaye sasa muhusika amejitokeza kujibu na kutuwezesha kwa mara ya kwanza kutambua nini kinaendelea. Lakini kwa kuwa hii issue ni inahusiana na taaluma ya Utabibu nadhani ingelikua vyema angeongozana mwakilishi toka Wizara ya Afya ambaye angefafanua kwa upana zaidi kuhusu hiyo ripoti ya ugonjwa wa Mwakyembe. Kwa hiyo bado nasubiri taarifa ya Wizara ya Afya ambayo itafafanua na kujibu madai ya Sitta kwamba Mwakyembe kalishwa sumu.
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha

Kakutuma nani bwana mdogo? Nenda kwamwambie akupe maelekezo vizuri!
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha

huyu ndo mfano wa wana magamba, soma taarifa acha ****** wako ukimaliza ondoa ***** wako hapa!umeumbuka wewe mkuda na ufinyu wako wa akili, wazembe wakusoma mnaconclude issues kwa line moja tena ya mwanzo!muone!
 
Excuse you!! Sita is what? Shame on you. This same sita who drop off Richmond saga in de parliament? How dare u!!

No one like sitta out of all speakers in tanzania, u should understand the roles and bounderies of mr speaker not shouting ant taking things in narrow mind! Sitta is not DPP, not DCI, not IGP, not CAG even a president, the light he gave us via bunge was enough to open doors of other responsible parties to take a lead! he can not lead conversation at the same time sue people for such offense, his roles and bounderise was not allowing him to do so! if u want to throw your blames, do it to theo people i mentioned! tusipotoshe umma kwa mabo tusiyoyajua!
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha

Wana CCM tujipange tu upya jamani siasa hizi za ki "uendawazimu" (hata kutaka kuua wenzetu!!) tuziache jamani hata hela tunazo hongwa kupotosha ukweli hazitatusaidia.
 
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.

Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha

Sasa hapo mkuu uumbukaji unaoongelea wewe ni Upi?
Kama wa kujifunza utajifunza kwa majibu ya watu hapa jamvini.

Negation does not always mean the subject under negation is negative
 
I think this post is not worth our time..Moderator kick it out of here ...We got better matters to discuss and delve into..
 
Mafisadi ndio wameumbuka.Sitta ni chuma cha pua
Serikali ndiyo inaumbuka sasa. Hawaelewani kuanzia Rahisi Kwetekwete, PM Pindapinda, Spika Makindamakinda, mawaziri Zururazurura, etc. Ni mchafukoge kama kwenye mlipuko wa volcano; huku, kule, pale, kila mahali. mtu anajiropokea tuu from nowhere, siyo WAZIRI MKUU, SPIKA, IGP, DCI, MINISTERS, etc etc etc. Tumwamini nani??? SAA YA UKOMBOZI NDO SASA
 
Kitu chochote ambacho kinaingia au kinatengenezwa ndani ya mwili na kuanza kuudhru huo mwili ni sumu.
Unaweza kula chakula na baadaye tumbo likachafuka, hii inaitwa food poison.
Kwa hiyo sumu unaweza kujilisha wewe bila kujua au ukalishwa na mwingine bila wewe kujua.
Duniani kwa sasa kila kitu kinawezekana. Mtu anaweza akatengeneza sumu na akalenga kiungo fulani cha mwili ili akiharibu.
Kuna mtu moja alikuwa maarufu sana Duniani hapo zamani. Maadui zake walitafuta namna ya kumpa sumu wakashindwa.

Baadaye walitumia mbinu rahisi kabisa ya kuweka sumu kwenye toilet paper ambayo huyu jamaa baada ya kuitumia alidhurika na baadaye kufa.

Kwa sasa tusubiri taarifa ya Daktari anayemtibu mgonjwa ambayo kiutaratibu itapelekwa kwa yule mwenye dhamana ya kupeleka wagonjwa nje ya inchi ambaye ni Wizara ya afya.

Na hata ikijulikana kuwa Dr. Mwakyembe amelishwa/ameingiziwa sumu bado hakuna wa kumkamata kwani itakuwa vigumu kuthibitisha kuhusuka kwake.
 
Kitu chochote ambacho kinaingia au kinatengenezwa ndani ya mwili na kuanza kuudhru huo mwili ni sumu.
Unaweza kula chakula na baadaye tumbo likachafuka, hii inaitwa food poison.
Kwa hiyo sumu unaweza kujilisha wewe bila kujua au ukalishwa na mwingine bila wewe kujua.
Duniani kwa sasa kila kitu kinawezekana. Mtu anaweza akatengeneza sumu na akalenga kiungo fulani cha mwili ili akiharibu.
Kuna mtu moja alikuwa maarufu sana Duniani hapo zamani. Maadui zake walitafuta namna ya kumpa sumu wakashindwa.

Baadaye walitumia mbinu rahisi kabisa ya kuweka sumu kwenye toilet paper ambayo huyu jamaa baada ya kuitumia alidhurika na baadaye kufa.

Kwa sasa tusubiri taarifa ya Daktari anayemtibu mgonjwa ambayo kiutaratibu itapelekwa kwa yule mwenye dhamana ya kupeleka wagonjwa nje ya inchi ambaye ni Wizara ya afya.

Na hata ikijulikana kuwa Dr. Mwakyembe amelishwa/ameingiziwa sumu bado hakuna wa kumkamata kwani itakuwa vigumu kuthibitisha kuhusuka kwake.

Mkuu I like your comments.

Tuache jazba. Tusubiri wataalam watasema nini. (Kama watasema anyway)

Lakini ukweli utabaki palepale, DCI Manumba alikuwa anatafuta ushahidi wa jinai yaani kumhusisha mtu moja kwa moja na hali hii ya DR. Kwa maelezo ya Dr Mwakyembe mwenyewe kama yanavyoandikwa humu, Madaktari bado hawajathibitisha chanzo hivyo hata kusema kapewa sumu si kweli. So Manumba yupo right (Based na haya tunayoyasoma humu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom