dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
una maakili wewe hadi yatakudhuru nahisi.dawa ya fisadi siyo mdahalo kumbe sitta kichwa maji namna hiyo mwanasheria gani huyu? Yaani mtu amekuibia unataka mdahalo naye? Mimi nilitegemea anasema nampeleka mahakamani!