Real Masai
Senior Member
- Oct 12, 2011
- 123
- 24
Hivi Team ya Propaganda ya CCM mbona inazidi kupanic.Huyu Sita nae yy sio size ya Lowasa,Anna Makinda.Au Labda Tabwe Hiza ila hatamuweza pia.
MICCM mipovu inawatoka kila kukicha,yaani badala ya kutangaza Sera Lowasa..Tushakuwa Viziwi tunataka CCM iondoke tufanye maendeleo ya Tanzania mpya tuitakayo.
MICCM mipovu inawatoka kila kukicha,yaani badala ya kutangaza Sera Lowasa..Tushakuwa Viziwi tunataka CCM iondoke tufanye maendeleo ya Tanzania mpya tuitakayo.