Sitta asema CCM wachukue hatua si kukimbilia dola!!

Glad

Member
Nov 29, 2010
25
1
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi kuchanganya kazi za chama na biashara kubwa kubwa, ameenda mbali na kusema hatua zisipochukuliwa mapema chama kinaweza kuanguka vibaya. Vile vile ameonya CCM iache kutumia dola kupambana na upinzani bali ijibu hoja na si vinginevyo!! Katika hili namsifu sana Mh. Sitta kwa ushuri huu mzuri kwa chama chake.

Source: ITV Habari
 
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi kuchanganya kazi za chama na biashara kubwa kubwa, ameenda mbali na kusema hatua zisipochukuliwa mapema chama kinaweza kuanguka vibaya. Vile vile ameonya CCM iache kutumia dola kupambana na upinzani bali ijibu hoja na si vinginevyo!! Katika hili namsifu sana Mh. Sitta kwa ushuri huu mzuri kwa chama chake.

Source: ITV Habari
Another ambiguity from the Ministrial Council!

Sitta, wewe ni mzalendo halisi, Mungu akubariki usitumiwe Al-Shabab, na hata wakitumwa washindwe na walegee!
 
Kwa kweli huyu jamaa anajiamini sana na nimempenda sana alikuwa anaongea bila kuuma ulimi wala kujing'ata ng'ata
 
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi kuchanganya kazi za chama na biashara kubwa kubwa, ameenda mbali na kusema hatua zisipochukuliwa mapema chama kinaweza kuanguka vibaya. Vile vile ameonya CCM iache kutumia dola kupambana na upinzani bali ijibu hoja na si vinginevyo!! Katika hili namsifu sana Mh. Sitta kwa ushuri huu mzuri kwa chama chake.

Source: ITV Habari

Anguko la sisiem li dhahiri. Na hizi ndo ishara. Kuwa na makundi mbalimbali ktk chama, mengine yakiweka maslahi ya taifa mbele na mengine yakiweka maslahi yao na marafiki zao, biashara mbele. Sisiem has just set a self-destuctive timed bomb.
Litalipuka lini is onyone's guess.
 
Kila mara nasema hapa na narudia, hii serikali imekaa kama imechoka sana na inasubiri kwa hamu nguvu ya umma. Kuna watu ndani ya serikali wanakerwa na vile Chadema wanavyobipu badala ya kupiga
 
thanks 6, go go go!! mko wachache sana ccm mnaoweza kutetea masilahi ya nchi bala ya mafisadi. pambana bila kuogopa!!
 
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi kuchanganya kazi za chama na biashara kubwa kubwa, ameenda mbali na kusema hatua zisipochukuliwa mapema chama kinaweza kuanguka vibaya. Vile vile ameonya CCM iache kutumia dola kupambana na upinzani bali ijibu hoja na si vinginevyo!! Katika hili namsifu sana Mh. Sitta kwa ushuri huu mzuri kwa chama chake.

Source: ITV Habari

kama yeye mwanaume aje kundini tu.
 
Hata mie nimemuona huyu mwanaume akiunguruma ITV. Lakini naona anatwanga maji kwenye kinu tu.
CCM haibadiliki na haitabadilika ng'ooo. Kaka Gurudumu upo? wape Rev.masanilo?
 
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi kuchanganya kazi za chama na biashara kubwa kubwa, ameenda mbali na kusema hatua zisipochukuliwa mapema chama kinaweza kuanguka vibaya. Vile vile ameonya CCM iache kutumia dola kupambana na upinzani bali ijibu hoja na si vinginevyo!! Katika hili namsifu sana Mh. Sitta kwa ushuri huu mzuri kwa chama chake.

Source: ITV Habari

Huyu sometimes namwona kama mnafiki fulani tu. Rejea kauli zake dhidi ya wapinzani wakati wa kampeni zilizopita.
 
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi kuchanganya kazi za chama na biashara kubwa kubwa, ameenda mbali na kusema hatua zisipochukuliwa mapema chama kinaweza kuanguka vibaya. Vile vile ameonya CCM iache kutumia dola kupambana na upinzani bali ijibu hoja na si vinginevyo!! Katika hili namsifu sana Mh. Sitta kwa ushuri huu mzuri kwa chama chake.

Source: ITV Habari

Karibu CDM Six
 
Back
Top Bottom