Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa


Acha kutapatapa,HAKUNA JIWE AMBALO HALITAFUNULIWA.waache watoto waujue ukweli na hao ndio wapiga kura 2015,haiwezekani mtu ahangaike huko na huko kuunua urais wa nchi hii na aachwe tu.IKULU NI MAHALI PATAKATIFU NA SI PANGO LA WEZI,MAFISADI,WAUZA UNGA NA WANYANG'ANYI.
 
Mshtaki kwa Mungu wakati mtakuwa mmempa Urais! Hii ni ajabu! Acha woga, acha kutishia.
 
Sijui kwanimi sina mashaka na Rais kutoka upinzani 2015,CCM wenyewe kwa kujua au kutokujua au kwa mapenzi ya Mungu juu ya Nchi hii wataparanganyika na na kauli zao za mwisho itakuwa "LIWALO NA LIWE,BORA TUKOSE WOTE" Mzee Sitta,Bernad Membe.....hawa hawawezi kukubali Lowassa awe mgombea wa CCM, jipeni moyo wote munaoitakia Nchi hii mema kwani ukombozi u karibu.
 

Don Quixote of La Mancha fighting the windmills
 
Lowasa hata siku moja hataweza kuwa presdor wa hii nchi. Big up Sitta

Maneno kama haya aliwahi kusema mzee mmoja alikuwa mkuu wa mkoa fulani hapa Tanzania eti hatuwezi kumpa nchi hii "mhuni" akidhani kwamba chaguo lake wakati wa mchakato wa kupata atakaye peperusha bendela ya chama chake ndiye atapitishwa. Mwisho wa siku yule aliyemuita mhuni ndo akapitishwa na chama na hatimaye akawa rais! Yule mzee yuko juu ya paa mpaka leo! Kwa nini Lowassa asiwe rais? He is a potential presidential candidate!
 

Hata huyo sitta hana usafi wowote. Muulize Dr.Slaa kuhusu sita. Utalewa bila kunywa.

 
Fungu la kukosa!. Huku kutapatapa ni dalili ya mfa maji.
P.

Mkuu kitendo cha mzee Sitta kutetea haki za watoto wanaobakwa na kuambukizwa UKIMWI sio fungu la kukosa. I believe you are better than this...
 
Nashukuru sana kwa posti hii mkuu,pia namshukuru sita kwa kuthubutu kutufungua macho watanzania kwa mambo kama hayo.Naomba kuwakumbusha watanzania wenzangu pesa anazotoa Lowassa siyo msaada ni zetu,watu hawa wametuibia sana,wanaendelea kutuibia lakini chondechonde tusiwape nafasi zaidi ya kutuibia,ili kufanikisha hilo ni kutowapa nafasi ya kutuongoza teana.
 

Sijui bwana six anafanya nini huko CCM
 
BILION 7.... Hatareeeee Lowasa na genge lake ni wa kuogopwa
 
Walewale njaa zitawaua, He might be potential to you, but not to Tanzanians who do really love this country .Eeh Mungu tusaidie,yanayoonekana tu hatuwezi kuona yasioonekana je?
 
Saa ya ukombozi nisasa na Mungu yuko upande wetu,waliyofanya yanatosha upinzani ndiyo dawa tuone na wengine wataisaidia vipi TZ,CCM mika 50 ya uhuru baada ya kuendelea tumerudi nyuma hivyo hawana jipya.
 
Walewale njaa zitawaua, He might be potential to you, but not to Tanzanians who do really love this country .Eeh Mungu tusaidie,yanayoonekana tu hatuwezi kuona yasioonekana je?

"One man's meat is another man's poison"
 
Sina hakika kama huyu Mlemavu EL atakubalika kuwa rais wa nchi hii achilia mbali hata kuteuliwa na Maccm hizi tamaa zingine bhana,hilo genge lake ni fedheha tupu wezi na wabakaji!
 
So kwa sifa ulizotaja ni na kuangalia usoni basi ni nani anafaa kwa maoni yako?
Tanzania ni nchi iliyojaa surprise, surprise katika uwanja wa kisiasa.

Hatuwezi kwa sasa kuanza kusema nani anafaa kwa sababu officially hakuna majina katika vyama ambayo yamependekezwa lakini unofficially tunasikia sikia mitaani baadhi ya watu wanasemwa ambapo mmojawapo ni Mh. Sitta.

Siku ikifika na tukaletewa majina tutawachagua miongoni mwao ambaye atakuwa zaidi ya wengine kwa sababu tutakuwa hatuna choice nyingine, ndiyo maana nikaanza kusema kama CCM inamtembeza Dr. Mingiro ili ajulikane kwa wananchi kwa nia ya kuja kumsimamisha kama mgombea Urais basi CCM itakuwa hawawatendei haki wanachamana wapenzi wake na pia Watanzania kwa ujumla. She's not Presidential material kwa Tanzania ya sasa na ijayo.

Ninatumaini vyama vya siasa vitatutendea haki na pia ninaamini kuna Watanzania out there wanaoweza kupambana na rushwa, umasikini, udini na ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…