ametolea mfano kama mwizi kaiba simu na watu wameanza kumkimbiza kwa bahati nzuri hakushikwa kaenda kuiuza hiyo simu kwa mtu mwingine na yule mwizi akaiuza hiyo simu kwa sh. 100,000 na wewe ukamlipa kwanza sh. 60,000
akaulize usipomlipe hiyo sh.40,000 atakuwa na haki ya kwenda makamani? hiyo ndivyo ilivyokuwa hata kwa dowans