Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

[h=2] This message is hidden because FaizaFoxy is on your ignore list. [/h] View Post
 
Huwezi kuwa Ndani ya CCM halafu ukajiita wewe MSAFI na kuanza kuwanyooshea vidole wenzako - huo ni unafiki mkubwa sana!!!

Mwandosya, Sitta, Mwakyembe, Nape (PupXXt) wote wanatizama 2015 - na pia wan-beef na kunyimwa sauti katika miaka hii mitano...
 
Huyu SS simuelewielewi vile anajua madudu ya viongozi wake " Viongozi CCM wana roho ya kuku, wepesi kubadili mawazo kwa ajili ya pesa" halafu bado yumo humohumo akisaidiana nao zaidi ya hapo naye ni kiongozi ie waziri, mbunge, mlezi wa Jumuhiya ndani ya chama hicho hicho
 
Alidhani akimwondoa Lowasa kwenye Uwaziri Mkuu yeye angebaki salama wakati ni vyeo waligawana kwa MoU ya wanamtandao? Amebaki JK tu naye chupuchupu 2010 imwondoe kama si nguvu ya dola.
 
najua sitta ana ghadhabu sana. Mfumo ulivyo sasa ndio sababu ya kina sitta, bhanji na wengine kufunguka. Wametendwa hao
 

Sitta kwa sasa ni kama "Black Mamba" aliyejeruhiwa anajuwa kuwa ama kupona ama kufa na kama ni kifo basi kiwe cha wengi.

Kumbuka, wadhifa wa Uspika wa Bunge ni mkubwa sana katika Tanzania, hata Waziri Mkuu haufiki, ni mhimili mmoja wa Dola kati ya mitatu. Inauma sana kutolewa uspika ukapewa uwaziri. Lazima ajitutumuwe, nna kuhakikishia yumo katika system lakini kwa sasa ni nani zaidi? hakuna.
 

hapo kwenye red hapo....... pa kuangalia kwa makini sana
 
kwani lazima alikuwa awe spika nchi ina watu wengi wa kushika nafasi hiyo vizuri zaidi yake,hata mimi,tena ni rahisi mno ni kama moderator wa mdahjalo ukishakariri kanuni mwendo mdundo.anachoskitika hawezi kusanya pesa kwa ajili ya kuusaka uraisi 2015 pesheni ua spika kubwa pamoja na bajeti ya bunge,hawezi pata hiyo hela kwa bajeti ya EA ndogo
 
Maneno ya Sitta ni ghiliba kwa watanzania. Yeye siku zote anaona ufisadi wa mapacha watatu tu. Ngoja NEC ijayo ikae tutasikia mengi sana!

Narudia:
Ukiona mtu ndani ya CCM anakomalia jambo la ufisadi fulani basi jua kanyimwa mgao au wanaofaidika na mgao huo ni maadui wake wa kisiasa ndani ya chama PERIOD

Ufisadi ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi na hauishii kwenye Dowans au EPA tu. Hata matumizi ya magari ya kifahari (aliyokuwa anatetea juzi) kwa taifa maskini kama letu ni UFISADI. Ukimsikiliza kwa makini utabaini kuwa yale yalikuwa maneno ya mkosaji na si mtu anayesema ninapigania taifa langu liondokane na ufisadi.

 

Ukweli ni kwamba Sitta alizidiwa kete na wenzake kwa kumpachika huyu Mama ili kufanikisha agenda zao kwa urahisi. Hakuna kigezo chochote cha maana kilichotumika zaidi ya hicho. Hakuna cha mfumo dume, weledi au uwezo wa kuendesha Bunge kwa manufaa ya Watanzania.
 
mh sitta ameendelea kutoa kauli na malalamiko ambayo kimsingi anaonekana bado anasononeka moyoni baada ya kuukosa u speaker na u pm,ni jambo la kushangaza,hv majuz akizungumza katika kipindi ITV alisema hana nia ya kugombea urais 2015,nilishangaa sana ninavyomfahamu sitta ni mtu ambaye anautamani urais wa nchi kwa namna yoyoye,hii kauli ya kuwa hagombei tena urais,kimsingi mh Sitta kasoma alama za nyakati kwanza amegundua ndani ya CCM hana nguvu yoyote hivyo hakuballiki,na pia umri wake kwa sasa umekwenda mbali,na kubwa zaidi ni uasi wake ndani ya chama mpaka hatua ya kushiriki wake uanzishwaji wa CCJ,baada ya kuona pia kuwa wananchi wamechoka na kauli zake zisizo na mashiko,tegemeo lake kubwa ilikuwa kuungwa mkono na wananchi wengi,mh Mpendazoe alishasema Sitta ni mtu hatari na ameeleza kwa kina jinsi alivyoshiriki uasi ndani ya CCM lkn bado ameendelea kukana kuhusika,mh sitta kwa sasa hana lolote analoweza kumsaidia rais ni bora apumzike alee wajukuu,kimsingi Sitta anautamani urais ila kutokana na vigezo nilivyotaja hapo juu kaanza kajitoa mwenyewe

nawasalisha
 

Bro! umeandika vizuri sana siyo kama huyu fox ambaye yuko biased na kifisadi kama Vodacom
 

Hakika hawa jamaa wanakera sana. Ngoma hii imelia sana muda si mrefu itapasuka.
 
Siasa ni mchezo mchafu, usione kakaa anayasema yote hayo ukafikiri hayumo, yumo alizidiwa tu.
Right to the point, siasa ni kuonyesha umahiri no matter what!!.......nafasi kama ile inamfanya mwanasiasa kuwa juu kwa 5yrs, inamuongezea points kawenye game.
Sita kazidiwa na wahasimu wake lazima imuume.
Hata siku moja Sita hawezi kuwa na dhamira safi.....no way, sio Sita huyu tunayemfahamu. Kama ni maumivu, ni kweli anayo, lakini kwenye porojo zake dhidi ya CCM ni UNAFIKI TU!!
 
Acha majungu. Au umetumwa? Na nani? na Lowassa & co? Unafiki anaujua mwenyewe sitta sisi kwetu la muhimu ni yale anayosema na kutenda. Na sitta kashadhihirisha hilo juu ya kulipwa Dowans. Amesema bila kificho.
Tutolee ujinga wako hapa.
 

.....utolewe sehemu muhimu kama ile halafu awekwe mwanamke ambae alikuwa ni naibu wako tena ambaye uliwahi kumkemea hadharani kwa dharau kwamba asikurupukie suala la taarifa ya Richmond!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…