Sitta afanya maajabu ya karne

Sitta afanya maajabu ya karne

Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.
Una pointi bora utulie tuu.

Namsubiri mtaani.........
Haya kaja mtaani utamfanyaje?

Huyo dingi kwa laana ya Watanzania soon hiyo ngoma yake itamuondoa tu.
Ngoma ni kama ebola bila hata ya laana inafanya kazi

Sitta alishajua ndoto yake ya urais kwisha. Ulaaniwe.
6 ulaaniwe.
alaaniwe yeye na wenzake wote walioshirika kutufanyia dhihaka watanzani
Alaaniwe?

6 atoke tu.
Atatoka akimaliza kazi iliyompeleka BMK


Kawatukana maaskofu na ukristo imesikitisha sana hali si nzuri huko tuendako nchi hii.
Ukristo na maaskofu ni vitu kama vitu vingine tena vitu hatari sana kwa maisha ya wanaoishi katika ulimwengu huru.

Mbaguzi ni sita kuwabagua ukawa
UKAWA wameondoka wenyewe hakuna aliyewafukuza.

Tatizo la sita alitaka cheap popularity, zaidi ameshindwa kutambua kuwa kila kukicha ni siku nyingine.
He is Popular already no need for more popularity strategies
 
usiongee kitu km huna uhakika. sijaona fact wala evidence yoyote zaidi ya hisia zako binafsi. tusikubali kuendesha Taifa kwa hisia na majungu

Mwakiposa, acha kujidhalilisha bhana, angalia fact mzee. Ndo maana nasema mna ulevi wa madaraka. Sasa wewe kuwa Mtendaji wa kata hapo sinza, tayari unasifu hadi mambo ya ajabu.Tanzania tuna safari ndefu kupata maendeleo ya kiakili maana hata mapfof wanaficha akili mifukoni kushabikia ujinga. Watz tumelogwa na hatufikirii kabisa mambo ya Taifa, just matumbo yetu tu tulio madarakani na kunufaisha viongozi tu. Naumia sana mimi kuzaliwa Africa hasa TZ. People can not strech their brain. Just ndio mzeeee, ah! very sad.
 
6 anaandaliwa mapokezi makubwa ya chama kwa mujibu wa magazeti ya Leo. Sijui nani anayaratibu. Lengo ni kuziba baadhi ya midomo ya watu. Maroli mengi yannaandaliwa kusomba watu ili wamraki...
 
Back
Top Bottom