Sitta afanya maajabu ya karne

Sitta afanya maajabu ya karne

Wananchi wataburuzwa tu.
Ukifuatilia haya matukio kuanzia hatua za awali kabisa zilizopelekea Dr. Mvungi (R.I.P) kupoteza maisha mpaka UKAWA kutoka nje ya bunge, unaona sababu zilizomweka Mandela gerezani kwa mika 27 ...na kweli kabla ya mwisho wa uhai wake sheria za nchi ziliridhia kuwa usawa wa binadamu ndio msingi wa maisha ya Afrika ya Kusini.
Watanzania wenye nia njema wapo japo ni wachache kutokana na asli yetu inayotunyima tulio wengi uelewa wa mambo.

 
Mkuu una lingine? fuatilia mwenyewe mimi matokeo nimeyapata leo saa kumi alfajiri!!

sita tunamsubiri urambo najua ataleta malori yakabebe watu vijijini waje wampokee barabarani halafu waseme sitta kapokelewa kifaulme jimboni kwake. Ukweli ni kwamba huku sitta ameshachafuka itamchukua muda mrefu kuirudisha heshima yake.

Sitta kapewa ngulu kakubali kumla bila kumuosha sasa hiyo harufu itamgharimu.
 
Unaleta ushabiki wa kijinga , wenzako walifanya hesabu nyinyi mkakalia migomo, Sitta amewazidi maarifa na hakili sasa mnaanza kuweweseka , mlisema mko nyuma ya wananchi tunawasubilia kwenye kampeni nako tuwachape, waombeni bwana.zrnu.pesa za chopa lakin tutawachapa.katiba oyeeee
 
mkuu kama wameweza kuchakachua mchana kweupe namna hii watashindwa vp kuchakachua kura za maoni?

hapa dawa ni kutokupiga kura tu! Ila ukipiga kura tu, iwe NDIYO au HAPANA, basi jua katiba imepita.
 
Ungeuza mandazi wenzako wauze karanga mmepigwa kotekote pakutokea hakuna safari ndiyo hiyo imeanza na katiba mpya iko mbele yetu.

Uko bungen au Manzese mkuu!?
 
Samuel Sitta mwenyekiti wa bunge maalum la katiba imebidi alazimishe ushindi kwa upande wa Zanzibar kwenye rasimu, nimethibitisha.

Uhakika ni kwamba mwenyekiti huyo atatangaza matokeo ya ushindi huku yakigubikwa na utata mkubwa na huenda yakazua tafrani kubwa.

Katika hali ya kushangaza ni kuwa wajumbe wote wa kura ya siri walipiga kura ya 'ndiyo' huku kura nyinhine zikiongezwa ili kukidhi akidi na haijulikani zilikotoka.

Bunge hilo linafikia tamati hivi leo huku likiibua mpasuko mkubwa nchini.

Hivyo ndivyo ilivyo! Akidi kwa upande wa Zanzibar imepatikana na ilivyopatikana anajua mwenyewe Sitta!

Yeye amejitetea kuwa "kuupitisha huu mchakato kwa gharama yoyote ile ni kuliokoa taifa na ni mpango wa Mungu"

Hii habari pia nimeisikia kwenye gazeti la Raia Tanzania la leo alhamisi.

Kuna tetesi kuwa huenda Kikwete akaingilia kati kushauri usitishwaji wa upigaji kura ili hali iishie hapa ilikofikia ingawa ni tetesi tu!

kweli pana usalama hapa kuna makundi hayatakubali ngoja tuombe mungu atulinde yapite salama.
 
Samuel Sitta mwenyekiti wa bunge maalum la katiba imebidi alazimishe ushindi kwa upande wa Zanzibar kwenye rasimu, nimethibitisha.

Uhakika ni kwamba mwenyekiti huyo atatangaza matokeo ya ushindi huku yakigubikwa na utata mkubwa na huenda yakazua tafrani kubwa.

Katika hali ya kushangaza ni kuwa wajumbe wote wa kura ya siri walipiga kura ya 'ndiyo' huku kura nyinhine zikiongezwa ili kukidhi akidi na haijulikani zilikotoka.

Bunge hilo linafikia tamati hivi leo huku likiibua mpasuko mkubwa nchini.

Hivyo ndivyo ilivyo! Akidi kwa upande wa Zanzibar imepatikana na ilivyopatikana anajua mwenyewe Sitta!

Yeye amejitetea kuwa "kuupitisha huu mchakato kwa gharama yoyote ile ni kuliokoa taifa na ni mpango wa Mungu"

Hii habari pia nimeisikia kwenye gazeti la Raia Tanzania la leo alhamisi.

Kuna tetesi kuwa huenda Kikwete akaingilia kati kushauri usitishwaji wa upigaji kura ili hali iishie hapa ilikofikia ingawa ni tetesi tu!
kapimwe akili. hamkati tamaa tu. nani kawaloga?
 
Wewe na wenzako wote msiojua nini kipo hampaswi kuzungumza akidi ipo tena imezidi kusoma hujui hata kusikia muulize hata babu slaa anajua kuwa akidi ipo tena imezidi tafuteni hoja zingine.

Mkuu siasa za majitaka zinakufaa sana. Siasa kwa watanzani maskin na wajinga ndo mtaji wako! Ila kizazi chenu ndo kinatokomea, usijali sana. Muda si mrefu wajukuu zako wataanza kuitaman Tanzania yenye wastaarabu na viongozi wenye maadili ambao hao wajukuu ndo watakaowaweka madarakani.
 
usiongee kitu km huna uhakika. sijaona fact wala evidence yoyote zaidi ya hisia zako binafsi. tusikubali kuendesha Taifa kwa hisia na majungu

Wewe uwezo wako wakufikiri ni mdogo kiasi gani? umeshaambiwa ni mpango unaoandaliwa ambao mtoa mada amethibitisha cha maana ni kusubiri. Jamani tetesi pia ni taarifa. Thanks mtoa mada
 
Viongozi wa nchi hii ni wa ajabu kweli...sasa hawa wajumbe wa BMK wanafurahia utadhani ndiyo mwisho wa mchakato na Katiba mpya imeshapatikana hiyo waliyoipanga wao.....hii inaonyesha kwamba kitu walichokopitisha wao ndiyo hicho hata kama wananchi hawakitaki.....kweli Watanzani ni wapole cjui hao hatujui haki zetu......

Wanafurahia posho walioila na sasa angalau watajidai kutembea kifua mbele.Ukweli unabaki palepale funika kombe mwanaharamu apite,aibu aibu aibu
 
Wewe na wenzako wote msiojua nini kipo hampaswi kuzungumza akidi ipo tena imezidi kusoma hujui hata kusikia muulize hata babu slaa anajua kuwa akidi ipo tena imezidi tafuteni hoja zingine.

Kutoka 210 wa Zenj hadi 219!
Kutoka 420 wa Tanganyika hadi 411!
Kazi siyo ndogo mkuu!
Kama Mary Chatanda alitolewa Tanga akapiga kura Arusha, haishangazi leo waTanganyika kupiga kura kwa upande wa Zenj!
Bila shaka ni kuhimarisha Muungano
 
Kutoka 210 wa Zenj hadi 219!
Kutoka 420 wa Tanganyika hadi 411!
Kazi siyo ndogo mkuu!
Kama Mary Chatanda alitolewa Tanga akapiga kura Arusha, haishangazi leo waTanganyika kupiga kura kwa upande wa Zenj!
Bila shaka ni kuhimarisha Muungano

Kwenye tovuti ya Bunge kuna wajumbe 624.


Hapa watakuwa wale watu wenye asili ya zanzibar wamehesabiwa zanzibar hata kama wanstahili kuwa Tanganyika.....Ila sheria io wazi ni wajumbe wa kundi la 201 na wale wawakilishi kutoka baraza la wawakilishi ...kwa hio hapa suala likienda mahakamani the issue will be over ..................Otherwise mahakama ifanye ubakaji wa wazi kama huu....Hii nchi ni yetu sote
 
Mkuu Zanzibar nasikia kesho kinawaka!

ndo matatizo ya wanasiasa kujali maslashi yao maakundi yote mawili yanataka kushidana ktk jambo la muhimu kama katiba.
 
Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.
 
Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.
Huna hoja wewe. Kichwa wazi
 
Back
Top Bottom