Sitta afanya maajabu ya karne

Sitta afanya maajabu ya karne

Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.

Dua la kuku halimpati Mwewe-Sitta
 
Huyo dingi kwa laana ya Watanzania soon hiyo ngoma yake itamuondoa tu.
 
Sitta alishajua ndoto yake ya urais kwisha. Ulaaniwe.
 
alaaniwe yeye na wenzake wote walioshirika kutufanyia dhihaka watanzani
 
Kawatukana maaskofu na ukristo imesikitisha sana hali si nzuri huko tuendako nchi hii.
 
Huna hoja wewe. Kichwa wazi

Dua la kuku halimpati Mwewe-Sitta

1902026_673540866041321_296530695_n.jpeg
Nawafananisha na hawa jamaa ambao mmewatesa wenyewe na nyinyi haohao mnawageuza katuni
 

Attachments

SITTA ndio Rais wetu mtarajiwa. Ni suala la muda tu utakubali mziki. Tunawataka viongozi wa vile wenye kufanya maamzi makubwa ya kutoa uelekeo wa nchi pasipo kuyumbishwa na vichwa nazi kama nyie vijukuu wa ukawa.
 
Tatizo la sita alitaka cheap popularity, zaidi ameshindwa kutambua kuwa kila kukicha ni siku nyingine.
 
Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.

Mkuu njoo ule bata mambo ya siasa mwakani
 
Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.
Kama kweli wana JF mliyokuwa mnayasema siku nyingi!nanukuu Tu "waache wafu wajizike wenyewe"mwisho WA kunukuu,eeh mola tusaidie waja Wako!ukweli WA wana JF wasiku nyingi unaonekana kuwa dhahiri
 
Si wapiga kura tu , hata Mungu amechukizwa sana na uchakachuaji huu , kiukweli mzee huyu ni wa motoni nasali naye kanisa moja lakini kuanzia j, pili hii nahama rasmi kanisa , siwezi kushiriki ibada na mtu wa namna hii ; Namuomba Mungu anisamehe kwa uamuzi wangu , maana nimekwisha utaarifu uongozi wa kanisa juu ya uamuzi huu .
 
Samuel sita kwa kulazimisha katiba uliyoagizwa kuipitisha na watawala wako,umejichimbia kaburi ya kuagana na siasa za tanzania kwani watanzania tulio wengi na wapiga kura wako tunakuogopa kama ukoma.kwaheri kutoka ktk siasa.

haramia la urambo hilo mkuu
 
Back
Top Bottom