Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,191
Atafute km bei ganTafuta pesa uje kwangu
Atafute km bei ganTafuta pesa uje kwangu
Nyingi mpaka zikose kitu cha kununuliaAtafute km bei gan
na wababa wengine wanatafuna binti zao kumbe wameathirikawewe shukuru kuwa hakuelewi! uking'ang'anizi huu kuna mwenzake tumemzika leo; alimtongoza binti mmoja ambae wazazi wake ni waathirika, binti hakumwelewa jamaa licha ya kupiga nae stori vizuri tu. Jamaa kang'ang'ana tu toka mwezi wa 5 hadi demu kaamua kumpa juzi juzi siku ya gwaride la kimya kimya, na manjonjo ya mtanzania mwenzetu komando bonge, jamaa akala mzigo huku wengine tumekodoa kodo kwenye tv kumcheki komando wetu wa mwaka wa maazisho ya miaka 55 ya uhuru wa Tanganyika; katika kula mzigo huko na kurejea nyumbani jamaa kapokea sms toka kwa demu kuwa demu ni mwathirika hivyo anamuomba msamaha kwa hilo 'mchizi', kusoma tu hiyo text jamaa akaona siku zake za kuishi ni nyingi sana hivyo kazikatisha kwa makusudi usiku akiwa chumbani mwake amelala siku hiyo ya komando bonge, na leo ndo imeruhusiwa azikwe.
Take care especially unapokuwa unajua wazazi ni waathirika, pia kaa mbali na vitoto vya mwishoni mwishoni kuzaliwa ktk familia kwani vingi vimezaliwa nao
Kuna mahali anakosea alete namba nimtongozeehata nafasi za kazi haziombwi mwaka mzima.. huyu anadalili hatavuka mwaka.. maisha ya mtu mtongozo waiter lete laini
Kuna mahali anakosea alete namba nimtongozee
Tena mwanaume na hisia zao za uamsho sekunde tuu hahahahha ana utani huyu mapenzi yanahama banaKamwe usijidanganye utaishi single milele unadhani haya maumbile yaliumbwa kama picha?
Wakati wako sahihi au mtu sahihi uliepagwa nae si huyo
Relax wanawake wako weeeengi utapata mwengine Na utampenda hadi ujiulize imekuaje
Kama hutakiwi usiyalazimishe mapenzi ukajutia
Huwezi kujua unaepushwa Na nn mbele
Habarini wana-JF wenzangu!!!
Kwanza namshukueu Manani kabla ya yote.
Na bila kuchelewa Naenda Kwenye mada yangu.
Kuna binti nampenda sana yaani sana mpaka naumwa.
Na binti mwenywe mweupe,sura nzuri yaani penye watu 10 lazima watu Tisa wageuze shingo kumtazama.
Yaani missi zaidi ya Diana Lukumai wa Tanzania.
Huyu Binti nilianza kumtongoza tangu mwezi wa tatu hadi mwezi huu kumi na 2.
Ila hanielewi.
KUMBUKA:BINTI NI MUHITIMU KIDATO CHA NNE MWAKA HUU-2016
Ila wazazi wake ni Waathirika la Ugonjwa wa kunywa dawa kila siku na masharti ya ugonjwa lazima umeze kidonge kila siku.
Isipikuwa yeye na mdogo wake ni wazima lakini sina hakika.
Huyu binti akiwa na shida hunifuata na akiwa na rafiki yangu ambaye ananisaidia kumshawishi awe na Mimi huwa ananiambia "amekubali" ila nikiwa na yeye wala haoneshi ile hali ya kunipenda.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi mpaka basi kikubwa binti nampenda yeye hanipendi na nimeonesha kila dalili ya kumpenda hanielewi je nifanyeje.
Bora niwe pekee yangu.[/QUOTtE]
...Too childish !!
Haya maneno tumekuwa tukiyasikia mara kwa mara. Mi nafikiri ni hasira ambazo huwafanya watu kutoa kauli kama hizi.Wote walio apa hivyo wameishia kuoa au kuolewa
kabisaTena mwanaume na hisia zao za uamsho sekunde tuu hahahahha ana utani huyu mapenzi yanahama bana