Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 13,046
- 32,685
We Lea tu majunio .😀 😀 hapo unanishaurije sasa
We Lea tu majunio .😀 😀 hapo unanishaurije sasa
Sawa mkuu, ngoja atoke kwanza ingawa yuko tayari ata kuja kupima 'dnaWe Lea tu majunio .
Ni wa uswaziAu uliwatundika mimba wanawake wa baa mkuu,au wale wa uswazi.
Hapo sawa mkuu,ungemtundika angalau mtu anaye eleweka na ana kipato cha maana..usinge waza. Ungempa sapoti ndogo ndogo.. ila wale wa uswazi ni nuksi aisee,anataka uhudumie kila kitu..ukizingua anakuchoma kwa mkeo 😁Ni wa uswazi
Hii nitakufundisha PM sio hapa mkuu.Ebu nipe hiyo technic; kwa sababu mpaka sasa hivi timu ya mpira imekamilika
Kwa uzuri ulionao, sidhani kama utakuwa huko 😀


Unajichetua sio eeh 😎😊Kweli nipo huku afu mi sio mzuri bana![]()
Yote ni gharama tu, hakuna unafuuSubiri utongozwe
Nipe ushauri
🤣🤣🤣🥴Kwa sababu ya umalaya wako? Hongera baba wawili
Italeta manufaa gani?Mkuu huyo unaempenda sana mwambie afanye abolition of Trade akubali akatae utakuja nishukuru
Not be driven ,utaish peacefulItaleta manufaa gani?
Kwa sasa wanatosha; Wachezaji kumi na moja walishakamilikaTia Mimba wengine wawili alafu ndio urudi tena hapa!!
Uko sahihi, na hilo najitahidi sana kuliepukaNot be driven ,utaish peaceful
Ebu muelimishe huyo; ''nendeni mkaijaze dunia''🤣🤣🤣🥴