Sitongozi tena

Sitongozi tena

Familia zenyewe tunaishi chini ya Dola Moja na elimu bure wala hukongoroki...weka vitu
Wazee wetu walifanikiwa kwenye hili, kwa sababu walikuwa wanalima na kufuga; ila kwa kizazi chetu inakuwa ngumu kwa sababu kuanzia mchicha mpaka yai tunanunua
 
Tunatakiwa tuijaze dunia, ''nendeni duniani mkazaliane na muongezeke''; tunatakiwa tuipendezeshe dunia kwa watu, chata yako.
Ni kweli Mungu ametuagiza "tuzaliane na kuongezeka" lakini si kwa uholela. Inatakiwa tuzaliane na kuongezeka kwa utaratibu na si hovyo hovyo. Tuzae watoto tutakaoweza kuwalea na kuwapa matunzo bora- malazi,mavazi chakula, elimu, n.k
 
Haya yaliwah kunikuta,michepuko yangu miwili ikapata mimba kwa mpigo kichwa kiliwaka moto

Wa kwanza tulijichanganya tarehe,wa pili nilimpatia p2 baada ya tendo sjui hakunywa baada ya mwez ananiambia kanasa

Sahv wanawake nawaogopa mno,nimeamua kubaki njia kuu
 
Ni kweli Mungu ametuagiza "tuzaliane na kuongezeka" lakini si kwa uholela. Inatakiwa tuzaliane na kuongezeka kwa utaratibu na si hovyo hovyo. Tunaendelea watoto tutakaoweza kuwalea na kuwapa matunzo bora- malazi,mavazi chakula, elimu, n.k
Ni kweli, muhimu ni kuweka mikakati thabiti ya namna ya wao watakavyopata mahitaji ya msingi; tukumbuke China na India ndio wanaoongoza kwa watu wengi; kwa hiyo tusiogope majukumu, changamoto yoyote ni muhimu kuitafutia uvumbuzi, kama suluhisho ni kutokuzaa, huo ni uzembe wa kutokufikirisha akili vizuri.​
 
Wazee wetu walifanikiwa kwenye hili, kwa sababu walikuwa wanalima na kufuga; ila kwa kizazi chetu inakuwa ngumu kwa sababu kuanzia mchicha mpaka yai tunanunua
Hamna kilichoharibika, wazazi walikuwa wakulima we ni mfanyakazi....Acha uoga piga photocopy hizo😅
 
Haya yaliwah kunikuta,michepuko yangu miwili ikapata mimba kwa mpigo kichwa kiliwaka moto

Wa kwanza tulijichanganya tarehe,wa pili nilimpatia p2 baada ya tendo sjui hakunywa baada ya mwez ananiambia kanasa
Mwisho wa siku ilikuwaje?
 
Hamna kilichohabrika, wazazi walikuwa wakulima we ni mfanyakazi....Acha uoga piga photocopy hizo😅
Inabidi kutafuta mapori ya kulima kwa wingi; muhimu kwanza wapate uhakika wa chakula kutoka shambani na si sokoni.
 
Bahati nzur niliwashawish kutoa na wakakubali,ila mmoja ilimsumbua sana kutoka

Mpaka sasa wanawake sina hamu nao,nawaangalia tu na kuwala kwa macho
Ukifikia uzee, utawakumbuka hao watoto 😀😀
 
Inabidi kutafuta mapori ya kulima kwa wingi; muhimu kwanza wapate uhakika wa chakula kutoka shambani na si sokoni.
Tanzania na mapori tena!mbona ndio penyewe,mapori Hadi ya akiba yapo..usife na mbegu kiunoni aisee
 
Haya yaliwah kunikuta,michepuko yangu miwili ikapata mimba kwa mpigo kichwa kiliwaka moto

Wa kwanza tulijichanganya tarehe,wa pili nilimpatia p2 baada ya tendo sjui hakunywa baada ya mwez ananiambia kanasa

Sahv wanawake nawaogopa mno,nimeamua kubaki njia kuu
Wote walizaa ama,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom