Hivi Rais Samia anafuraha moyoni mwake kukaa na mafisadi waliokataliwa na mtangulizi wake?Chukulia Mama yako mzazi anakula na kunywa na wale maadui wa marehemu baba yako huku ukijua kifo cha baba yako kilikuwa na utata?
Hivi huyu Mama nastahili kumpa heshima ya kumuita Mama yangu, kila nikimuona na wale maadui wa baba yangu machozi yaananza kutiririka, nitalia mpaka lini?
Hivi huyu Mama nastahili kumpa heshima ya kumuita Mama yangu, kila nikimuona na wale maadui wa baba yangu machozi yaananza kutiririka, nitalia mpaka lini?