nenda kwa lakatware au mwingira uone kama kuna kutangaziwa kuwa sadaka ya last week ilifanyiwa nn na imekwenda wapi. hiyo inaamanisha kuwa ni ya mtu mmoja na hajibu kwa mtu yyte na ndio maana hana muda wa kuwaambia jinsi alivyotumia hela zenuMakanisa yanasajiliwa kama taasisi. Ili usajili kama taasisi ni lazima ufuate na kuzingatia vigezo na masharti likiwemo sharti la kuwa na bodi ya wadhamini. Kimsingi hakuna kanisa la mtu mmoja.
Kaka ...
Unafanya vyema. Naomba unioneshe mstari wa Biblia unaokufanya usitoe sadaka ila ufanye hayo. Bwana Yesu mwenyewe anasema uzeni mlivyonavyo mtoe sadaka.watu wengi hufikiri ukitoa sadaka kanisan ndio unabarikiwa sana,
Mm huwa naona sadaka nzuri ni ile unayotoa kuwasaudia watu weny shida mbala mbali.
Hebu jiulize. Umemuacha jirani yako hana chakula halafu umeenda kanisan kutoa. Hiv unafikiri Mungu atakuona?
Wachungaji wengi siku hiz wababaishaji tu, mahubir yao mengi ni kutoa sadaka na kuhubiri utajiri. Wengine km waganga wa kienyeji wanatabiri kbsa.
Ukiwaangalia weng wao wanapenda kupokea kuliko kutoa, ni wachache sana wanaowasaidia watu wao
Sasa hivi hatuko kwenye sheria za Musa bali za Kristo.wewe ndugu kabla huja fanya uamuzi wowote chukua Biblia ako soma MWANZO hadi UFUNUO utafunuliwa yakupasayo kufanya! kanisa haliwezi kuwa la Tz tu halafu mtu unasema unamwabudu Mungu wa Mbingu na dunia! pia AMRI za Mungu ni tabia ya Mungu, tafuta kanisa ambalo lina sifa hizi uende kusalimisha roho yako
1.Muongozo wake ni BIBLIA TU!
2.Ina hubiri AMRI za Mungu kama alivyo pewa Musa nabii, Kutoka 20:1-17.
3. Ina hubiri ujumbe wa malaika wa tatu (Ufunuo)
4.Iko dunia yote
5.Inafanya Ubatizo wa Biblia (kama alivyo batizwa Yesu)
6.Ina tunza Sabato ya Mungu ya siku ya saba.
7.Ina hubiri Biblia kama ilivyo bila kuongeza mapokeo ya wanadamu.
Ukipata kanisa hilo: UTABURUDIKA NAFSI YAKO nawe utakuwa salama mikononi mwa Kristo.
kweli kabisa wachungaji wengi ni wasanii tu wanataka sadaka ,mimi tokea 2010 niliacha kutoa sadaka najikusanya kila wiki naenda kutoa kwawazee wasiojiweza na mayatimaNatumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.
Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.
Asanteni nawatikia EID njema
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka m
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka m
Toa fungu la kumi wewe, utabarikiwa!!!!
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.
Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.
Asanteni nawatikia EID njema
Iyo ni atari sana ...now dayz dini imekuwa biashara.Mtu anaenda kutoa milioni kwa Mzee wa upako halafu njiani kampita ombaomba ambaye angeshukuru hata shilingi mia.
Kwani hiyo sadaka unamtolea nani? Mpe kaizari ya kaizari mengine achana nayo kwani umeshatimiza wajibu wakoNatumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.
Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.
Asanteni nawatikia EID njema