Sitokuja tena kutoa sadaka kanisani

David Harvey watu kama nyinyi huwa hamtoi sadaka, umetoa sana 1,000. Hata hivyo hata kama hautatoa unadhani huyo mchungaji kuna kitu atapungukiwa atapungukiwa?
 
Ukimtolea Mungu hauapashwi kuumizwa zimetumikaje, kama wanatumia visivyo watajibu kwa Mungu, mi nikitoa Imani yangu inanieleza kuwa nimemtolea Mungu na wahusika wanapasw kufanya kama Mungu alivyoelekeza, wakizielekeza visivyo sio kazi yangu kuwahukumu hiyo ni kazi ya Mungu niliye mtolea. #Period #faith
 
Karibu mi nishaachaga siku nyingi sana afadhali uwape yatima, na wasiojiweza MKUU
 
Sasa wewe naona kuna kitu unakitafuta...
 
Atajuana na Mungu wake? Mbona anajuana na mJapan tu
 
Mafundisho anayokupatia huyo mchungaji ni bora zaidi ya hiyo sadaka yako toa sadaka na si imeandikwa kila mtu atalia madhabahuni mwake
Anatoa mafundisho ili apewe pesa anunune BMW??????? Yatima, wajane, wenye njaa wako wapi?
 
Yaani hapo Ndio umemtolea mungu, Toa tu....!
 
Sadaka haina maelekezo ya mtumiaji, ukitoa maelekezo haina tofauti sana na misaada ya nchi za magharibi. Muangalie Mungu unayemtolea, usiangalie anatumia nani na anatumiaje. Yeye ndiye atakayeitolea hesabu kama imefanya kazi iliyokusudiwa na Mungu au imeenda kwenye anasa. Kuna siri kubwa kwenye kutoa sadaka.
 
Umesema hutatoa tena sadaka. Umekosea sana. Wkati wa Agano la Kale sadaka zilikuwa za kuteketezwa. Ukishatoa sadaka, umefanya wajibu wako. Hesabu imeteketezwa. Matumizi yake yasikusumbue. Mungu atashughulika na watu hawa. Kama una uhakika mahali unaposali kweli yote inafundishwa, wewe endelea kutoa sadaka na fungu la kumi. Mengine yote mwachie Mungu. Hao yatima na wenye uhitaji nao wanahitaji msaada wako. Wasaidie kwa jinsi unavyoona inafaa na Mungu aonaye sirini, atakubariki sana.
 
Toa wazid ku_enjoy jamani
 
Hiyo elimu ya wapi,wakati mitaaaan tunawaona watu wanaaanzia kwenye nyumba zao,mwishowe anaaanza kuungaunga banda,mpaka linakamilika.
Hiyo elimu kaipata lini,labda elimu ya kupiga pesa,harafu ukiandika rudia kusoma na kutafsir ulichoandika"MNAFIKI WEWE"
 
Ukimjua Mungu hutaandika jambo hili uliloandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…