Umesema vyema mkuu lakini huku nako mambo si shwari katika baadhi ya parokia na majimbo. Kuna mapadri wanagombania hizo sadaka, kuna wale jamaa wanaohesabu hizo sadaka baada ya misa au jumuiya hupora hizo pesa. Hapa ninavyoandika mama mmoja jirani yangu amegeuza kigango fukani kuwa "sakosi" yake na anachota mapesa jinsi atakavyo.Karibu kanisa Katoliki...Mapato na matumizi ya sadaka yako utasomewa..
ok. Salam zao.Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.
Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.
Asanteni nawatikia EID njema
Basi hiyo Parokia Kamati Tendaji na Baraza la Walei ni mfu..Umesema vyema mkuu lakini huku nako mambo si shwari katika baadhi ya parokia na majimbo. Kuna mapadri wanagombania hizo sadaka, kuna wale jamaa wanaohesabu hizo sadaka baada ya misa au jumuiya hupora hizo pesa. Hapa ninavyoandika mama mmoja jirani yangu amegeuza kigango fukani kuwa "sakosi" yake na anachota mapesa jinsi atakavyo.
Vikundi vya dini mashuleni na vyuoni ni miradi ya viongozi wa vikundi hivyo na wanapiga pesa bila aibu.
Mimi kutoa sadaka kanisani nilishaacha japokuwa si completely. Ninapokuwa na hela nawapa masikini zaidi yangu njiani na moyo wangu kujisikia vizuri lakini si kwa katekista, padri wala mchungaji.
Watu wana expensive jetUnashangaa bmw na Brevis,watu wana ndege huko
Weeeeeee. Wapi wanasoma mapato na matumiziKaribu kanisa Katoliki...Mapato na matumizi ya sadaka yako utasomewa..
Hamia kanisa katoliki sadaka yako unaiona inavyotumika kujenga makanisa, shule, huduma za afya. Huku uwazi na Ukweli ni banda na unaabudu Mungu wa kweli. Hili ndo kanisa la ulimwengu. Katoliki means a ulimwengu au kwa kiingerza universal. Karibu sana. Hili ndo kanisa la kristo aliloliacha.Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.
Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.
Asanteni nawatikia EID njema