Sitokuja tena kutoa sadaka kanisani

Sitokuja tena kutoa sadaka kanisani

ni wap vile, kule wanapaita mlima unaofuka volcano (moto) michokeni be si nasikia mama lao kapanga viti rangi tofautitofauti kulingana na fungu atoalo mkaliaji???
 
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.

Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.

Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.

Asanteni nawatikia EID njema
 
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.

Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.

Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.

Asanteni nawatikia EID njema
Falsafa ya makanisa yote ya mbao na maplastic ni moja tu: DINI DEAL. Period!
Kwa hiyo mtu aliyeacha dhehebu na kanisa alilobatizwa akahamia kwenye makanisa ya mbao na plastic ni MPIGA DEAL, ndicho kilichompeleka huko, kwa hiyo kupata au kupigwa ni halali.
 
Huyu mleta mada nimempenda sana maana kasema ukweli.

Kwanza Sadaka humtolei Mchungaji bali MUNGU ila anayepokea ni binadamu kama wakala wa Mungu.Kumbuka Musa na manabii wengine walikuwa wanachoma moto sadaka.

Pili:- Wewe una wivu wa kike ambao unapaswa kutubu na ukuishe,maana hata serikali yako misaada inayotoka nje ni sadaka za watu,Je Tanzania nzima sisi ni yatima!

MIVA-Italy inatoa msaada kwa katoliki,na nisadaka zao huko,je wakatoliki wote ni yatima?

Najua wewe uokoke na ukulie ukristo kwa kukmjua zaidi kristo na utapona ,kama hutaki pia ni sawa maana njia zipo mbili ,moja panaa na ni rahisi kupita na nyingine nyembamba ni ngumu kupita-
 
Kweli hizi sadaka mimi naona zimekuwa za kulazimishwa yaaani lazima utoe kiasi fulani,haya yanaanzia kwenye majumuiya(ambayo huwa sizielewagi) unapangiwa kiasi.Sadaka siyo lazima iende kanisani kumnufaisha Mchungaji na Uongozi wa Kanisa tunaweza kusaidia watu mbalimbali wenye uhitaji Mfano watoto mazingira magumu,wagonjwa,wasiojiweza kadiri tuwezavyo.
 
Pole sana mkuu! Hiyo ndiyo akili ambayo mzungu alituachia waafrika yani unanyonywa na kuibiwa kiulani tu kwa kutumia maneno mazuri pamoja na nyimbo nzuri mfano;

"Toa ndugu ×2 kile ulichonacho bwana atakuona mpaka moyoni mwako"
 
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.

Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.

Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.

Asanteni nawatikia EID njema
duh iko kazi swali kwani umelazimishwa kutoa sadaka?
pili sadaka yenyewe unatoa jero ukijipigapiga buku.je ni lini Mungu ameshuka toka mbinguni nakuchukua sadaka zetu
kile unachowafanyia watumishi wake ni umemfanyia Mungu.toa sadaka wewe usilalamike utapata baraka
 
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.

Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.

Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.

Asanteni nawatikia EID njema
sisi huku hayatuhusu?! nakutoa ni moyo wa MTU! mbona mifisadi huwa inatoa mabilioni ya pesa na hawasemi?! nahisi hiyo zaka yako hata buku 2000 haifiki lakini cha ajabu unapanik utadhani unatoa million kadhaa! shame as you!
 
Wewe unaenda kutoa sadaka Makanisa ya Kilokole unategemea nini..??

Makanisa yanayojielewa kama Katoliki, KKKT na Anglican ni mahala pa kutoa sadaka...Maana huko Mashule, vituo vya watoto yatima, hospitali zinajengwa..
Shule zenyewe ndio zile zenye Ada kubwa? and then wanafunzi wanachujwa sana...
Ada za Katoliki zinaenda Vatican... Refer Padri wa kanisa aliyekoswa koswa na majambazi alipokuwa anakwenda bank kutuma pesa Vatican zaidi ya milioni mia nne ambazo hukusanywa kama sadaka na waumini kwa jumla kila mwezi na hiyo ni miaka ya mwanzoni ya 2000

Shia hupeleka Sadaka zao Iran
 
  • Thanks
Reactions: AHA
Basi hiyo Parokia Kamati Tendaji na Baraza la Walei ni mfu..
Ni mfu ndio hata kanisa linakufa kwa sababu limeanza kumomonyoka toka pale Vatican city tena St. Peter's Cathedral. Ulawiti wa watoto unaanzia juu lakini walifumbia macho kitu ambacho kimezikumba parokia nyingi hata huku Afrika; embezzlement nayo imekuwa ni ya kawaida wale waliovaa kofia ya utawa ndo wamekuwa chanzo cha haya yote-mapadri wanagombania matoleo, hela na mazao ya kuwategemeza (mapadri&masista) ndo maana kondoo nao wameona waanze kujipigia pesa maana hata hofu ya Mungu watu imeisha.
Napenda sana watu warudi kwenye mstari ila bahati mbaya wale walioshika usukani wa kuendesha makanisa wengi ni wanyang'anyi kama wanyang'anyi wengine ispokuwa wao wanatumia Psychology, Philosophy na knowledge ya Theology waliyonayo kuwapora masikini wa dunia hii. Mtumishi wa Mungu anadhira kuchukua sadaka kisa anadai wametoa kidogo; kidogo???? wakati hajui huyo mtu aliyetoa kidogo katoa sehem gani ya kipato chake na kaacha kiasi gani kwake.
 
Wewe unaenda kutoa sadaka Makanisa ya Kilokole unategemea nini..??

Makanisa yanayojielewa kama Katoliki, KKKT na Anglican ni mahala pa kutoa sadaka...Maana huko Mashule, vituo vya watoto yatima, hospitali zinajengwa..
Amen Amen, KKKT Kuna mahospitali, mashule, Vituo vya Watoto, Hivi watu wanajua Kweli kuwa Shule ya Walemavu wa Akili iliyoko Korogwe inamilikiwa na Kanisa? Au Kituo cha Irente cha Watoto yatima na ile shule ya Wasiiona na ile ya Watoto wenye mtindio wa ubongo? Yaani hizi huduma ni ngumu sana kuziendesha kwa hali ya kawaida. Aende kutoa sadaka huko Aache ubahili wake
 
Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.

Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.

Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.

Asanteni nawatikia EID njema
Mnachanga kiasi gani? Juilize na tafakari. Anatumia mgongo wa Kanisa kupata misaada, siyo sadaka zenu.
 
Back
Top Bottom