Sitokaa nipende shombe

The Don

JF-Expert Member
Dec 2, 2011
3,499
1,163
Nakumbuka ilikuwa mnamo mwaka 2007 Ndipo tukio hili la kufedhehesha lilipomtokea ndugu yetu wa karibu,kwa jina mangi toka moshi(samahan cyo mangi wa jf) akiwa na umri wa miaka 26,alikuwa ndio kwanza kamaliza mwaka 1 katika kampuni fulani moro akiwa kama meneja mauzo alipoajiriwa baada ya kutoka chuo kikuu, katika kujishughulisha ndipoa alipofikia matombo na kukutana na huyu mtoto mchanganyiko wa rangi ya kibantu na kiarabu na umbo la kuvutia pasipo kasoro ya kuitwa mrembo,baada ya kuvutiwa nae ndipo alipoamua kumfunulia moyo wake kwa jinsi alivompenda,lahaula!

Mungu si athumani bibie akamkubalia lakini kwa masharti ya kuingia kwenye ndoa na kubadili dini, mangi kwa kupenda bila hiyana akakubaliana na masharti na vigezo na taratibu za kutambulishana ili kufunga pingu za maisha zikaanza, mangi akarudi moshi na kuwaeleza ukweli lakini bahati mbaya wazazi wakawenga ngumu baada ya kuambiwa ni shombe na lazima abadili dini (watu kama hawa wanaitwa chasaka kwa chagga).

mangi akaumiza akili ili aweze kupata lile tunda lake la maraha linalompeleka kuteseka na kuona pesa na cheo chake si thamani kitu, mangi aliamua kurudi moro na kumwelezea rafiki yake wa karibu hali halisi ndipo aliposhauriwa wacheze mchezo wa kimjini mjini ili waweze kumpata mutoto.

Waliamua kwenda kukodi wazee wa mjini na kwenda nao huko matombo kwa mbwembwe nyingi wakitumia gharama kubwa ya msafara mkubwa wa magari na vitu vingine vya gharama kwa ajili ya wakwe, baada ya kupokelewa walitajiwa gharama ya mahari millioni 3 ambapo zilitolewa na wakaafikiana taratibu za kufunga pingu za maisha, haraka kamati iliundwa na taratibu zikaanza ambapo mangi aliulizwa mfukoni ana kianzio cha sh. Ngapi?

Mangi alitoa kianzio cha millioni 4 pamoja na wanakamati ikafika millioni 22, hatimaye siku iliwadia ndipo msafara ukatoka moro mjini mpaka matombo kwa minajili ya kufungishwa ndoa, baada ya kufungishwa ndoa ndipo mangi alikabidhiwa mke na safari ikaanza akiwa na jina jipya la bin-mangi na mke,

Baada ya kufika mjini na sherehe kumalizika ndipo walisindikizwa tayari kwa ajili ya mapumziko, wakiwa chumbani ndipo vituko vilipoanza pale bin-mangi alipotaka haki yake ya ndoa, mkewe alisingizia anaumwa na tumbo na hataki usumbufu, bin alivumilia na hatimaye usiku ukapita akiwa na mawazo mengi (kumbuka ndio kwanza alijua atapewa mchezo kutokana na masharti aliyopewa hapo mwanzo kuwa hadi ndoa).

Kesho yake baada ya kuamka ndipo hali ilizidi kuwa mbaya na kuamua kwenda hospital kupima lakini hamna tatizo lililoonekana, baada ya kuzunguka sana ndipo alipopigiwa sim na wakwe zake wakimtaka mtoto wao wakamtibu kijadi wakiambatanisha na gharama ya sh. Laki saba.

Bin alijikakamua na kuamua kuuza gari yake ili akamtibu mkewe kipenzi,wakwe walimwambia wanakwenda tanga kwa matibabu zaidi, kisicho riziki hakiliki pesa iliisha wakiwa tanga na bibie bila afadhali, mara kushtuka mangi alisimamishwa kazi na wakwe wakaamua wamrudishe matombo kwa uangalizi zaidi, hali ya mangi iliianza kuwa mbaya baada ya kuishiwa vibaya na kazi kufukuzwa.

Bibie aliporudi hali yake ilikuwa safi na mangi alipata taarifa kuwa ni mchezo alichezewa, aliumia sana na kujutia nafsi yake ndipo alikata shauri la kurudi moshi.....

........*ITAENDELEA*.......
 
Nakumbuka ilikuwa mnamo mwaka 2007 Ndipo tukio hili la kufedhehesha lilipomtokea ndugu yetu wa karibu,kwa jina mangi toka moshi(samahan cyo mangi wa jf) akiwa na umri wa miaka 26,alikuwa ndio kwanza kamaliza mwaka 1 katika kampuni fulani moro akiwa kama meneja mauzo alipoajiriwa baada ya kutoka chuo kikuu, katika kujishughulisha ndipoa alipofikia matombo na kukutana na huyu mtoto mchanganyiko wa rangi ya kibantu na kiarabu na umbo la kuvutia pasipo kasoro ya kuitwa mrembo,baada ya kuvutiwa nae ndipo alipoamua kumfunulia moyo wake kwa jinsi alivompenda,lahaula!

Mungu si athumani bibie akamkubalia lakini kwa masharti ya kuingia kwenye ndoa na kubadili dini, mangi kwa kupenda bila hiyana akakubaliana na masharti na vigezo na taratibu za kutambulishana ili kufunga pingu za maisha zikaanza, mangi akarudi moshi na kuwaeleza ukweli lakini bahati mbaya wazazi wakawenga ngumu baada ya kuambiwa ni shombe na lazima abadili dini (watu kama hawa wanaitwa chasaka kwa chagga).

mangi akaumiza akili ili aweze kupata lile tunda lake la maraha linalompeleka kuteseka na kuona pesa na cheo chake si thamani kitu, mangi aliamua kurudi moro na kumwelezea rafiki yake wa karibu hali halisi ndipo aliposhauriwa wacheze mchezo wa kimjini mjini ili waweze kumpata mutoto.

Waliamua kwenda kukodi wazee wa mjini na kwenda nao huko matombo kwa mbwembwe nyingi wakitumia gharama kubwa ya msafara mkubwa wa magari na vitu vingine vya gharama kwa ajili ya wakwe, baada ya kupokelewa walitajiwa gharama ya mahari millioni 3 ambapo zilitolewa na wakaafikiana taratibu za kufunga pingu za maisha, haraka kamati iliundwa na taratibu zikaanza ambapo mangi aliulizwa mfukoni ana kianzio cha sh. Ngapi?

Mangi alitoa kianzio cha millioni 4 pamoja na wanakamati ikafika millioni 22, hatimaye siku iliwadia ndipo msafara ukatoka moro mjini mpaka matombo kwa minajili ya kufungishwa ndoa, baada ya kufungishwa ndoa ndipo mangi alikabidhiwa mke na safari ikaanza akiwa na jina jipya la bin-mangi na mke,

Baada ya kufika mjini na sherehe kumalizika ndipo walisindikizwa tayari kwa ajili ya mapumziko, wakiwa chumbani ndipo vituko vilipoanza pale bin-mangi alipotaka haki yake ya ndoa, mkewe alisingizia anaumwa na tumbo na hataki usumbufu, bin alivumilia na hatimaye usiku ukapita akiwa na mawazo mengi (kumbuka ndio kwanza alijua atapewa mchezo kutokana na masharti aliyopewa hapo mwanzo kuwa hadi ndoa).

Kesho yake baada ya kuamka ndipo hali ilizidi kuwa mbaya na kuamua kwenda hospital kupima lakini hamna tatizo lililoonekana, baada ya kuzunguka sana ndipo alipopigiwa sim na wakwe zake wakimtaka mtoto wao wakamtibu kijadi wakiambatanisha na gharama ya sh. Laki saba.

Bin alijikakamua na kuamua kuuza gari yake ili akamtibu mkewe kipenzi,wakwe walimwambia wanakwenda tanga kwa matibabu zaidi, kisicho riziki hakiliki pesa iliisha wakiwa tanga na bibie bila afadhali, mara kushtuka mangi alisimamishwa kazi na wakwe wakaamua wamrudishe matombo kwa uangalizi zaidi, hali ya mangi iliianza kuwa mbaya baada ya kuishiwa vibaya na kazi kufukuzwa.

Bibie aliporudi hali yake ilikuwa safi na mangi alipata taarifa kuwa ni mchezo alichezewa, aliumia sana na kujutia nafsi yake ndipo alikata shauri la kurudi moshi.....

........*ITAENDELEA*.......

nlijua nai mangi mm ningeua mtu asee,sa ivi ungekuta nipo keko mbe.
 
kahadithi katamu...hakuna mchaga ambaye anaweza kufanya kitu kama hicho, mbuzi kwenye gunia aisee...hapana wako makini sana, lazima ageonjeshwa tundi tuu kabla ya ndoa.
 
rangi huu hautupeleki popote......................nionavyo this is a case of racial stereotyping.................
 
ww hujielewi.sasa huowi shombo kwa ajili ya hivi vituko?kwa hyo ukikutana na mmatumbi mwenzio mwenye ujinga km huo unaoa sio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom