Sitoisahau paper ya advanced mathematics 2013

Sitoisahau paper ya advanced mathematics 2013

Hashimu lwenje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2017
Posts
415
Reaction score
361
Wakuu sito isahau paper ya advanced mathematics 2013, ninacho kumbuka mara baada ya mtihani kuna wenzangu walikua wanalia wakuu, kuna hesabu moja ya calculating device skujua nianzie wapi niishie wapi. Matokeo yalivyo toka ilinibidi nichungulie na shule zingine wamefaurije nilikuta kumbe paper lilikua gumu shule zote, kama huamini chungulia nawewe, huwez amini fedha walipata one 23, huwezi amini Kibaha walikua na div 4, na div one zisizo zidi 25, huwezi amini mzumbe nao hola hivyo hivyo. Sasa ndio naamini kweli elimu ya advance iliishia mwaka 2013,

1155103
1155104
d mathematics 2013,
1155106
 
Physics ulipata ngapi ambapo hakuna A au B hata moja iliyopatikana kitaifa.

Hiyo Mathe raia ziligonga digit(A), wewe ulikwama wapi?
Naelewa kuna waliopata A, but ni wangapi? Hebu naomba uchunguze matokeo ya shule zote kwa macho yako, uniambie A zlikua ngapi kitaifa
 
hilo pepa linaleta chakula mtaani.. maana zama hizi kina diamond wanachaji milioni 100 kwa shows za masaa mawili uku wao wanasema tu mikono juu mikono juu
 
Back
Top Bottom