Sitoisahau paper ya advanced mathematics 2013

Sitoisahau paper ya advanced mathematics 2013

Ilikuwa C pekee tena za kuhesabika, TO alitoka Ilboru akiwa na A ya Chemia na Mathe ila C ya Physics
Mnachoshindwa kuelewa vijana wengi ni kwamba mwaka huo kilichowafelisha watu ni grading system tu .

Mwaka huo grading zilikuwa hivi; A ilikuwa 80-100, B ilikuwa 75-79, C 65-74 , D 55-64, E 45-54, S 35 -44, F 0-34

Sasa hao waliopata C kiuhalisi ilibidi wawe na B.
 
Hujautendea haki uzi wako mkuu! Jazia nyama kidogo, hutausahau kivipi? Ulikuwa mgumu kwako? Rahisi mno kwako? Au kuna kitu gani unique kinachokufanya usahau mitihani mingine isipokuwa huo!?
Nmesha jazia mkuu, nahisi ndio paper ya kwanza
Physics naskia no B that year
Ndio hivyo mkuu, TO alikua na C ya physics
 
Basi jamaa walitukazia vidume hatariii
Mnachoshindwa kuelewa vijana wengi ni kwamba mwaka huo kilichowafelisha watu ni grading system tu .

Mwaka huo grading zilikuwa hivi; A ilikuwa 80-100, B ilikuwa 75-79, C 65-74 , D 55-64, E 45-54, S 35 -44, F 0-34

Sasa hao waliopata C kiuhalisi ilibidi wawe na B.
 
Nadhani ndio paper ya kwanza tanzania kutoa swali la Ku derive Simpson's rule, full kutoana jasho, ila nakumbuka ndiyo lilikua swali jepesi zaidi kwangu siku ile asubuhi
Hayo maswali yanatembea lkn sio kizembe zembe na hili paper walimu wengi wanalitumia kupima wanafunzi wao
 
Write your reply..japo sikusoma combination yoyote yenye advanced mathematics but nakumba hii siku nilishuhudia mtabe wa namba pale kibasila ikitoka analia baada ya paper kuisha , ila mungu alikuwa bado yupo upande wake maana baada ya matokeo jamaa bado alipiga fresh tu.
 
Wakuu sito isahau paper ya advanced mathematics 2013, ninacho kumbuka mara baada ya mtihani kuna wenzangu walikua wanalia wakuu, kuna hesabu moja ya calculating device skujua nianzie wapi niishie wapi. Matokeo yalivyo toka ilinibidi nichungulie na shule zingine wamefaurije nilikuta kumbe paper lilikua gumu shule zote, kama huamini chungulia nawewe, huwez amini fedha walipata one 23, huwezi amini Kibaha walikua na div 4, na div one zisizo zidi 25, huwezi amini mzumbe nao hola hivyo hivyo. Sasa ndio naamini kweli elimu ya advance iliishia mwaka 2013,

View attachment 1155103View attachment 1155104d mathematics 2013,View attachment 1155106
Hiyo pepa ilikua ni noma nilikula mswaki (F). Ikabidi nirudie mwaka 2014 nikapiga karai (C) nikasepa zangu chuo.
 
Naomba nitembezee swali la kwanza (b)
Hahah... wewe utakuwa ulikuwa EGM... hivi unashindwaje kutembeza swali la kwanza. Radioactive hiyo mtu ameruka nayo sana kwenye physics. Unless kama atakuwa hajui kutumia calculator...
 
Write your reply..japo sikusoma combination yoyote yenye advanced mathematics but nakumba hii siku nilishuhudia mtabe wa namba pale kibasila ikitoka analia baada ya paper kuisha , ila mungu alikuwa bado yupo upande wake maana baada ya matokeo jamaa bado alipiga fresh tu.
Hiyo paper mwenyewe nilishuhudia watu wanalia, yaani sema mimi sikua na wasiwasi sana cause chemistry na physics nlikua mwake kinyama yaani
 
Hahah... wewe utakuwa ulikuwa EGM... hivi unashindwaje kutembeza swali la kwanza. Radioactive hiyo mtu ameruka nayo sana kwenye physics. Unless kama atakuwa hajui kutumia calculator...
Hilo swali limeshort data, ww usiliangalie kwa macho tu, hapa physics ndio imelala
 
Hahah... wewe utakuwa ulikuwa EGM... hivi unashindwaje kutembeza swali la kwanza. Radioactive hiyo mtu ameruka nayo sana kwenye physics. Unless kama atakuwa hajui kutumia calculator...
Hebu niambie shuleni kwako kulikua na A ngapi za hesabu mwaka huo, na shule gani ili tu prove wote humu, kulikua na div one ngapi?
 

Ni tamu kuisoma, ila kwenye lazima ikulize
Ilinipa tabu sana wakati naingia kidato cha tano miaka hiyo nilichelewa kuripoti siku ya pili tu nakutana na test alafu sikuwa nimezoea kuzidiwa na wanawake kuangalia hivi sioni la kujibu na pre form five sikusoma acha kabisa mkuu nilitamani nipae!

All in all nikajikuta nimekuwa mbabe wake tena ile 0 ilinifunza kuna jamaa yangu yuko Muhimbili anaitwa G mbaga ni watu pekee tuliokuwa hatujui kitu aisee
 
Ilinipa tabu sana wakati naingia kidato cha tano miaka hiyo nilichelewa kuripoti siku ya pili tu nakutana na test alafu sikuwa nimezoea kuzidiwa na wanawake kuangalia hivi sioni la kujibu na pre form five sikusoma acha kabisa mkuu nilitamani nipae!

All in all nikajikuta nimekuwa mbabe wake tena ile 0 ilinifunza kuna jamaa yangu yuko Muhimbili anaitwa G mbaga ni watu pekee tuliokuwa hatujui kitu aisee
Kitu mojawapo kilichonipatia historia katika safari yangu ya masomo sekondari ni Somo la Advanced Physics.

Nilitumia hela nyingi kulisoma kuliko Chemia na Biology, mwisho wa siku nililifaulu na likanipatia ufaulu mzuri wa kusonga mbele kwenda Chuoni.
 
Back
Top Bottom