Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,673
Ukalipize kisasi tena?
SafariSafariHii mwili wako watakabidhiwa fisi
SafariSafariHii mwili wako watakabidhiwa fisi
Kwani mleta mada ni nyuki?Hiyo asali ilikua ya kwenu
Nakumbuka ilikua tarehe 20/5/2020 nikiwa maskani nilikutana na rafiki yangu wa vidato.Tukiwa tunapiga story akaniambia anafanya mishe za kuuza asali na ni biashara inamlipa sana basi kusikia vile na hali yangu ya maisha nikamwomba tupige wote mishe.Jamaa akanikubalia trip ya kwanza ilikua kuenda Manyara kwenye msitu flani(jina nalihifadhi) tulifika kule tukakutana na ndugu wengeni wawili jumla tukawa wanne na yule rafki yangu tukaanza safar ya kuingia msituni na piki piki mbili na ndoo tano kubwa za kuweka asali tuliingia msitu tukabak pikipiki vichakani tukaanza kurina asali ya chinii ghafla nlisikia mlio mkubwa sana PWAAAAH! kugeuka nlijiona nipo mwenyewe mbele kuna watu wawili wananijia na nguo za rangi ya kahawia kumbe ni askari wanyama pori nilihis kuzimia wakapiga risasi nyingine hewan nikabaki nmeduwaa wakafika karibu wakanipga pingu wakanilaza kifudifudi wakatoa gloves wakaanza nichuna ngoz ya unyayo huku wapo busy hawaongei na bibi nlipga sana kelele ila walikua kimya wakamwagia chumviii nilipga sana yowe haikusaidia yule askari mmoja akasema hawa hawana silaha huyu tumtie ulemavu fisi waje wamchukue tuvunje miguu yote.Ghafla askari mmoja akaniuliza nmetokea wapi na silaha yangu ipo wapi nikawaambia ukwel wote huku nmefunga mikono kama nasali wakaniacha wakaondoka shunghuli ikawa kutembea natembea vipi miguu imepiga ganzi maumivu makali.Usiku ukaingia nmelala hoi sijitambui wale wenzangu wakarudi kunicheki sikuamini wakanitia mgongoni hadi tulipoacha pkpk njaa kali+maumivu niliona kifo kimewadia nilifika kijiji kimoja kupata huduma kwenye zahanati kusafisha majeraha na dawa nesi alinionea huruma sana alinitibu kwa kulia sana nlikaa zahanati pale wenzangu wakafanya juu chini nikapata usafiri gari noah hadi mjini kutibiwa hospital ya wilaya hakika sitasahau askari wa wanyama poriii nmepona ila najua siwez lipiza kisasi
Asante sanaPole sana,Mungu awalaani hao askari waliokufanyia unyama,Mungu atawalipa ipo siku.
Asante sanaPole sana mkuu
Asante sanaPole sana mkuu
Shida hizi mkuuHukupewa hata training unaenda enda tu
SiweziiKwa hiyo sasa hivi unao uwezo wa kutembea peku?
Njaaa lazima uhisi mwili unapoteza nguvuNimeshangaa una maumivu makali lakini ukapata nafasi kusikia njaa
KabsaaaDah pole sana aiseee ndo maana hakunaga urafiki wa raia na polic wote hao ni jamii Moja!
Sanaaa sitowasahauUwashukuru jamaa zako kukurudia wana moyo wa ujasiri
😀😀😀Na Majamaa walifungua Turbo ya Maana
😀😀😀ndio mana HAMZA alijichukulia sheria mkononi
Mleta mada umenikumbusha mwaka 1986 tulikwenda kuchimba Dhahabu ndani ya Katavi National Park sehemu inaitwa Kanyega mkwala wao usiku mnene wanapiga risasi hewani "ebwana usiombe mlio wa bunduki usiku porini"Pole sana mkuu
Hapana ni mali ya msitu(serikali)Hiyo asali ilikua ya kwenu