Songwe Yetu
Member
- Nov 22, 2021
- 84
- 99
Askari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.
Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.
Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.
Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki, maiti itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpoteza classmate wangu
Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.
Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.
Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki, maiti itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpoteza classmate wangu