Nejad Rocket
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 298
- 197
Kwani ukijua umepata aids kutoka Kwa MTU Fulani inasaidia nini?Yaani ndo uzuri wenyewe.
Hata ukipata AIDS hutajua wapi umepata.
Kwani ukijua umepata aids kutoka Kwa MTU Fulani inasaidia nini?Yaani ndo uzuri wenyewe.
Hata ukipata AIDS hutajua wapi umepata.
Kwani ukijua umepata aids kutoka Kwa MTU Fulani inasaidia nini?Yaani ndo uzuri wenyewe.
Hata ukipata AIDS hutajua wapi umepata.
Kwa hiyo ukijua AIDS umeipata wap ndo unapona??.Yaani ndo uzuri wenyewe.
Hata ukipata AIDS hutajua wapi umepata.
HIVI MNATUMIAGA CONDOM EH?I see nimetoka kunnunua kwa buku 14000 nimepiga wawili... Tatizo hawataki romance kabisa
Huyo mmoja atampata wapi ili hali bado anakataliwa? Labda umsaidie jamani kijana mwenzetuTulia tafuta mmoja uoe, ndo suluhisho la shida zako
Afuate utaratibu aoe, unaweza oa bila kutongoza labda kama hajajipangaHuy
Huyo mmoja atampata wapi ili hali bado anakataliwa? Labda umsaidie jamani kijana mwenzetu
The same na magonjwa easy to Carrynawasalimu
Hali hii ya baridi inanifanya nizidi kujisikia mpweke.
Toka mwaka umeanza nimetongoza wasichana 11 lakini wote wamenikataa. sitaki kutongoza tena saivi naanza kununua malaya.
uzuri wa malaya Unatoa hela unakula mzigo..hupati stress za kijinga, hupigwi mizinga kila mara n.k
Nadhani kwa namna hii huu upweke wangu wa kingono utaisha.
Kuoa ni plan ya muda mrefu sana,kwao Sasa anatoaje kiu?maana nyege zikizidi unaweza kuwa kama chiziAfuate utaratibu aoe, unaweza oa bila kutongoza labda kama hajajipanga
Awe busy na kazi tu ataishinda tamaaKuoa ni plan ya muda mrefu sana,kwao Sasa anatoaje kiu?maana nyege zikizidi unaweza kuwa kama chizi
Sio rahisi kihivyo,sometime age yenyewe ni changamoto!!! Plus pombeAwe busy na kazi tu ataishinda tamaa
How come unakataliwa na 11 in a row, that's too much young bro,
Una tatizo sehemu, jiangalie
Yes. Its unethical.You got something against the sex trade?
Pombe tena, hapo dhambi zinazidi sasaSio rahisi kihivyo,sometime age yenyewe ni changamoto!!! Plus pombe