Sitatongoza tena, naanza kununua wanaojiuza

Sitatongoza tena, naanza kununua wanaojiuza

nadhani amejitoa Kafara na kuchoka na maisha


na huenda ndio mwisho wako wa kufikiri


hufai kulaumiwa Mkuu
pole sana
 
princes 1073 said:
Kanunue aise hata ukipata vvu hautajua nani kakuambukiza
Hapa wengi ndio huwa mnakosea. Malaya mkienda eneo la tukio kitu cha kwanza anadai hela yake cha pili lazima akuvishe mpira yeye mwenyewe sio rahisi kupata vvu labda utake mwenyewe.
Ila hawa wapenzi wetu tunaofanya nao kavu
ni shida.
 
Tatizo ukimaliza hapana, basi na wewe unasepa. Komaa kijana acha kutuaibisha.

Unakataliwaje na wanawake 11 kwa mfululizo.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom