Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
nawasalimu
Hali hii ya baridi inanifanya nizidi kujisikia mpweke.
Toka mwaka umeanza nimetongoza wasichana 11 lakini wote wamenikataa. sitaki kutongoza tena saivi naanza kununua malaya.
uzuri wa malaya Unatoa hela unakula mzigo..hupati stress za kijinga, hupigwi mizinga kila mara n.k
Nadhani kwa namna hii huu upweke wangu wa kingono utaisha.
Lete namba ya mmoja aliekukataa bwana mdogo nikusahidie