Hapo umeongelea vitu viwili bila kujua. Kwanza kuoa, hilo ni Hiyari yako. Lakini pili mtoto, nakushauri uzalishe wa damu yako kuliko kuasili mtoto. Kwa kuwa ni wazi kuwa unapenda mtoto.
Nilichogundua kwa maelezo yako. Hutaki majukumu ya kukuwajibisha, unataka uwe na majukumu ya Hiyari siyo Yale uliyoyaamua wewe.
Hiyo ni hali ya kawaida sana linatokea watu wengi, waoga wa majukumu kama wewe. Na Mara nyingi inasababishwa na ubinafsi uliokuathiri utotoni, Has a kama umekulia mazingira ya kujitafutia sana, wewe binafsi.
Kifupi umeathirika kisaikolojia, kiasi kidogo Ndiyo maaana umeandika humu ili kuweka huru nafsi yako kwa kuwa hiyo hali huipendi. Pole sana hali hiyo itatoweka, ila kama utabaki ulivyo kinachofuata kwako ni kugawa m k u n d u. Take care of ure self & each other.